Mume wangu ananitesa



mim ni meolewa na nimefunga harusi na mume wangu, ila toka anioe mume wangu sijafurahia ndoa yangu ispokuwa siku ya honeymoon. siku hz mume wangu akija nyumban anaanza kunigombeza bila sababu,ananipiga bila kosa,hataki kuniona, anarud usiku sana nyumban amelewa nikimuuliza anaipa kipigo cha mbwa,anani2kana matusi, yaani hapa nilipo sina aman na ndoa yangu, nishaurin jaman nifanyeje?


Sasa kama juzi ulikuja na hilo hapo juu RED, na leo unakuja na hili la kupigwa BLUE sasa tukuweke wapi mbona unatuchanganya? uwanja huu ni darasa huru ila lililo na malengo ya kusonga mbele, wewe upo wapi kati ya haya mawili? Funguka vizuri mwana kwenda.
 
Pole dada,ila mambo mengine huwa mnasababisha wanawake lazima kuna chanzo
 

Ni kweli huyu anapotezea watu muda kumpa ushauri kwenye hadithi zake za uongo. Posts zake zinaji - contradict. Mara anamchumba, mara mume wa mtu mara ana mume!
 

hapo kwa red! Kuna ushauri mwingine ni jaziba, kabla ya kutoa ushauri ni vizuri uka study kwa kina mahusiano yao kabla huja draw conclusion!
 

Hayo matusi yoote umejitukana mwenyewe, kwani wote tunajua hapa JF kuwa stori nyingi zinakuwa hazitihusu ila zinaihusu jamii.hapa watu wanadiscuss jinsi ya kusolve tatizo kama hili kwano matatizo mengi sana yanakiwa yanafanananaga. Nadanganya?
 
Elezea vizuri. Ulipolala kwa mama mkwe na yeye akasafiri kwa siku 2, ukajirudisha kwake?

kwa maelezo yako, nahisi kama wewe ni tegemezi. Unafanya kazi?
 
mbonma unatuzingua wewe
hapa ulikuwa unasema kitu gani!
MUME WA MTU NOUMA
 
Ni kweli huyu anapotezea watu muda kumpa ushauri kwenye hadithi zake za uongo. Posts zake zinaji - contradict. Mara anamchumba, mara mume wa mtu mara ana mume!
hii shosti wangu inatwa Mtambuzi syndrome
 
Last edited by a moderator:
Mie nakujua wewe!Si ulisema mumeo ana mapenzi ya kweli na hata tukija kwenu mna act kama ndo honey moon imeanza kumbe mambo ndo yalivyo tukiondoka?Unless umeacha ku pretend,mumeo hataacha kukudunda!Uliolewaje na mzee wakati ulikuwa na kijana mwenye mapenzi kwako ukamtosa kwa sababu ya umaskini wake?,Hayo ndo matokeo yake!Vumilia ukishindwa vunja ndoa!
 
we kitali, mbona unatuchanganyia news? Ile post ya jana kwanza imeishia wapi?
Attention seeker! . . .
 
Hayo matusi yoote umejitukana mwenyewe, kwani wote tunajua hapa JF kuwa stori nyingi zinakuwa hazitihusu ila zinaihusu jamii.hapa watu wanadiscuss jinsi ya kusolve tatizo kama hili kwano matatizo mengi sana yanakiwa yanafanananaga. Nadanganya?

jazba ilipanda kidogo mzee... Nlicomment baada ya kutoka kusoma habari za uamsho
 
hii shosti wangu inatwa Mtambuzi syndrome

Shosti story za Mtambuzi walao zinavutia kusoma sasa za huyu mwenzetu mnh! Sijui nisemeje maana anakua anaomba ushauri hivyo watu wanadhani ana tatizo la kweli wanaanza kutoa ushauri kumbe mwenzao anajifunza jinsi ya kutunga story kama za Mtambuzi. Inabidi Mtambuzi aanzishe darasa rasmi.
 
Last edited by a moderator:
Hawezi kukupiga bila sababu!
 
kumbe ni huyu mbuzi
 
Safi vanmedy, nilikuwa najiuliza hili jina nimekutana nalo wapi. kitali ni kweli umeolewa, maana ulileta Uzi wa mpenzi wako kutowasiliana nawe!
 
Last edited by a moderator:

Ni wewe uliyeachwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…