UACHE U*S*E*NGE kutuchanganyia habari humu.. Usifikiri kia mtu kichwa funza kama wewe....JANA ULIANDIKA HIVI
""Kitali 21:35 Yesterday mimi ni msichana ninampenzi
nampenda ila anitumie msg ,hanipigia
anaweza kukaa hata wk hanitafuthi
mpaka mimi nimtafute .unawezakuta
namtumia msg hajibu nikumuliza
mbona kimya anadai mambo mengi.akijajibu msg bada ya sik mbili
anadi nisijali yupo pammoja na mimi
ananipenda na mim ndiye mke
wak.juzi nilimpigia alinimbia nitafute
SIKU TUKAE TUONGEE ILI MWAKANI
AKANITAMBULIshe.naombeni ushaur wana jf wenzang.je ananipenda kweli
au ananidanganya''
UACHE U*S*E*NGE kutuchanganyia habari humu.. Usifikiri kia mtu kichwa funza kama wewe....JANA ULIANDIKA HIVI
""Kitali 21:35 Yesterday mimi ni msichana ninampenzi
nampenda ila anitumie msg ,hanipigia
anaweza kukaa hata wk hanitafuthi
mpaka mimi nimtafute .unawezakuta
namtumia msg hajibu nikumuliza
mbona kimya anadai mambo mengi.akijajibu msg bada ya sik mbili
anadi nisijali yupo pammoja na mimi
ananipenda na mim ndiye mke
wak.juzi nilimpigia alinimbia nitafute
SIKU TUKAE TUONGEE ILI MWAKANI
AKANITAMBULIshe.naombeni ushaur wana jf wenzang.je ananipenda kweli
au ananidanganya''
mkuu ushauri wako naukubali kwa %100 but sio mara zote mungu anajibu onspot subira pia yahitajika.
bidada jichubguze kama kweli bado unampenda na hauko tayari kuikosa ndoa yako, fanya hivi, mpotezee mazima akirudi home kuwa kama haupo' usimuulize la shari wala heri, usimwombe si kwa chumvi wala sukari. mfanye mumeo fenicha ambayo ikiwepo sawa haipo sawa.
akiuliza swali usimjibu lolote lile akinyanyu8a mkono ama teke kukupiga nawe nanyua pasi ya moto ama maji moto mmwagie nakwambia atafyata mkia huyo. tena uwe kauzu si mchezo usimwendekeze hata kidogo mpe masharti unataka maisha aina gani hatak basi mwambie asikujue na hata uchi wako usimpe. fanya hayo huku ukiwa unajipanga yaani hadi akushangae nani anayekuhudumia wala usifurukute mwez tu, wa pili anarudi mwenyewe na miguu yake.
mwenzio nilivyumilia sana ingawa sikuwah kupigwa hata kibao, lkn nilivaa sura ya kazi na kuhakikisha famnilia yangu iko njema namshukuru sana Mungu siku aliamua kumbadilisha alimbvadilisha and that now is past.
kama moyoni humtaki nakushauri just quit ili uwe na amani usiangalie jamii itasema nini ama itafanya nn na usitake ushauri wa wanaklamati wakati unapo qiut manake watakukatisha tamaa.
UACHE U*S*E*NGE kutuchanganyia habari humu.. Usifikiri kia mtu kichwa funza kama wewe....JANA ULIANDIKA HIVI
""Kitali 21:35 Yesterday mimi ni msichana ninampenzi
nampenda ila anitumie msg ,hanipigia
anaweza kukaa hata wk hanitafuthi
mpaka mimi nimtafute .unawezakuta
namtumia msg hajibu nikumuliza
mbona kimya anadai mambo mengi.akijajibu msg bada ya sik mbili
anadi nisijali yupo pammoja na mimi
ananipenda na mim ndiye mke
wak.juzi nilimpigia alinimbia nitafute
SIKU TUKAE TUONGEE ILI MWAKANI
AKANITAMBULIshe.naombeni ushaur wana jf wenzang.je ananipenda kweli
au ananidanganya''
nilijarib kwa msimamiz wa ndoa ye2 akaja 2kaongea na akakir hatorudia ila usiku wake nilikiona cha moto kibano kwa kwenda mbele na kufungiwa mlango nikaenda kulala kwa mama mkwe wangu kesho yake akapanga safar na kuondoka akakaa siku mbil akarud ila moto niuleule yaana nyumban akisha rud hakukalik.
Hayo matusi yoote umejitukana mwenyewe, kwani wote tunajua hapa JF kuwa stori nyingi zinakuwa hazitihusu ila zinaihusu jamii.hapa watu wanadiscuss jinsi ya kusolve tatizo kama hili kwano matatizo mengi sana yanakiwa yanafanananaga. Nadanganya?
vipi hawezi kumpeleka kwa babu!!!Muweke kwenye maombi, funga na kuombea ndoa yako
Mababu wahuni sana, ona sasa mambo yaovipi hawezi kumpeleka kwa babu!!!
hii shosti wangu inatwa Mtambuzi syndrome
kumbe ni huyu mbuziuache u*s*e*nge kutuchanganyia habari humu.. Usifikiri kia mtu kichwa funza kama wewe....jana uliandika hivi
""kitali 21:35 yesterday mimi ni msichana ninampenzi
nampenda ila anitumie msg ,hanipigia
anaweza kukaa hata wk hanitafuthi
mpaka mimi nimtafute .unawezakuta
namtumia msg hajibu nikumuliza
mbona kimya anadai mambo mengi.akijajibu msg bada ya sik mbili
anadi nisijali yupo pammoja na mimi
ananipenda na mim ndiye mke
wak.juzi nilimpigia alinimbia nitafute
siku tukae tuongee ili mwakani
akanitambulishe.naombeni ushaur wana jf wenzang.je ananipenda kweli
au ananidanganya''
Yawezekana ulilazimisha ndoa
Mie nakujua wewe!Si ulisema mumeo ana mapenzi ya kweli na hata tukija kwenu mna act kama ndo honey moon imeanza kumbe mambo ndo yalivyo tukiondoka?Unless umeacha ku pretend,mumeo hataacha kukudunda!Uliolewaje na mzee wakati ulikuwa na kijana mwenye mapenzi kwako ukamtosa kwa sababu ya umaskini wake?,Hayo ndo matokeo yake!Vumilia ukishindwa vunja ndoa!