Mume wangu ana michepuko mingi

Mume wako ni wa mwendokasi
 
Leo ngoja nikuache kimia kimia niongeze baraka maishani...maana nilichotaka kuandika hakiandikiki
 
Kama umeshindwa kumfanya asitamani nje, tegemea kusaidiwa.

Nyinyi mmeolewa then mnatoa mchezo kwa maringooo, mnalalamikaaaa.... Sasa kama kiu haijaisha unategemea nini?

Mtaitishe kitandani mpaka a[emoji97] upepo tu hatotoka nje maana nguvu zote zitakuwa zimeishia kwako
 
Sometimes mamito jifunze kuwa msiri mambo ya ndani kauka, usituadithie. Ndoa yataka uvumilivu aliye wekwa ndani kapendwa zaidi. Vi genye vingine vita isha tu then mtalea familia yenu kwa raha ajabu. Wana sema " some stories should remain un told" rudi kwa hubby wako no one is perfect ma dia.
 
tumechoka na mada zako za kutungatunga kila kukicha.........leo uongo huu kesho uongo ule!!!!!!!!!!!!!!
 
Ila niweke ukweli.. majina mengi ya Monica tabia zao ziko kushoto sana.. simsemi mleta mada, naweka kiujumla.. Wenye majina ya Monica ni wauza nyapu sana.. kila mwanamke nimjuaye jina hili ni mama huruma sana..!!

Back to topic...!!

HUYU MWANAUME KWA DUNIA YA LEO HAKUFAI...!! Utaumia sana dunia ya leo ukiendelea nae..!!
 
wewe huko bar ulikomkuta na rafiki yako ulifuata nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…