Mume wako mchafu, usinisumbue

I know you ain't that kind mahondaw...

# lots of Hug and Kisses #
 
Aisee! Wajasiriamiili wana shida maana hawabagui mteja wenyewe pesa tu.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 

Kwn lazima awe yeye..basi msaidie abadilike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi hawaukubali ukweli lkn wanawake tuna roho ngumu!!!! Siku Mungu akiamua awake video fupi tu ya siri na matendo ya wanawake mbona itakua balaa ndoa zitavunjika na wengine watakataa majina yao
 
kwa sababu icho kibabu ni cha kiswahili kingekua kibabu cha kizungu ungekisifia.......akili zenu bana
 
Yupo mwenye hela wa age hiyo hajui kuwa msafi na kujitunza mwenyewe?

Kama hela ipo na mkeo hafui, si kila siku unanunua nguo mpya. Shopping ya wiki nguo pair saba saba, ukishaoga unarudiaje boksa au soxy au Tshirt?
 
Ila pesa haujazichoka hahahaass
 
tafuta wako,acha kuiba wa wenzio
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…