Mume wa mtu

Mume wa mtu

Mi nakutaka wewe ni-inbox tuwasiliane, am single and cool as you may need!
 
Kuomba lazima.. Nife na shida wakati mpenz alikua ana kazi nzuri na nilipewa ruhsa nkiwa na shida niseme!! Kama angekua mwanafunzi mwenzangu sawa

Ndio shida yenu kuombaomba pesa kwa wanaume kama machangu kha!!!
 
boobookitty

Huyo utajampa tuuuu unajishaua bure; utoto tu unakusumbua hamna cha peke yako bhana mpe nyapu hilo jamaa akamue na wewe ushushe pumzi freeeesh
 
Last edited by a moderator:
Hiki kitoto cha miaka 20, kitoto hiki huwa ni kijinga hiki Bwana akiokeo vinginevyo familia yake itapata taabu
 
Inawezekana mimi leo kwa story hii nakuwa siiamin kabisaaa,maana mtirirriko wake hadi hitimisho ni hadithi ya unaenda stand kupanda gar umesahau nauli..,
 
Kumbe una uwezo wa kuja kwa staili mpya ya namna hiyo mpaka kujifanya mwanachuo? Anyway
hongera una kipaji cha uandishi wa stori kwa ajili ya vijana walio chuoni.







k
 
Wapo binaadamu wa aina hiyo lakini wachache sanaaa.Ndio maana watu wanaiona story yako kama PAUKWA PAKAWA
 
Kumbe una uwezo wa kuja kwa staili mpya ya namna hiyo mpaka kujifanya mwanachuo? Anyway
hongera una kipaji cha uandishi wa stori kwa ajili ya vijana walio chuoni.







k

ahahahaaa kumbe na wewe umeshitukia eenh!mi nimejua kitambo ndio maana nikabeba kilichochangu
 
Hadithi njoo.... uongo njoo utam kolea!!!! mtoto wa chuo urudishe kilo nne Bongo, hapo mostly ni kupiga game na kujikaza kama hujaziona text

Kuna mdau hua anasema "steps entertainment katika ubora wake"
 
kitu ambacho nimegundua JF kuna watu wanajua kuandika, nimefungua huu uzi nipoteze poteze muda kilichonivutia ni uandishi, mtoto boobookitty (jina lako tu limenikumbusha mbali) unajua kuandika, kama una vistori vingine uwe unaleta jukwaani, katika hadithi ya leo nimependa ulipoandika "ile tu anataka kuchomeka charger kwenye simu" nimejikuta natabasamu na kuanza kukumbuka chuo
 
Last edited by a moderator:
Binti wa bongo kama huna mke wanakuchenga sana hata wakiwa na uhusiano si imara.
Ila akigundua unamke watakufuata balaa ukizubaa watachapana.
 
umefanya maamuz mazr sana, kuachana nae kwa kujua ni mume wa mtu na hata kurudisha pesa. inaonyesha unahtj mume mwema kwelikweli. na kwa sbb iyo nina kuombea upate mume bora ambaye mtapendana na wala hatkuwa na michepuko
 
Back
Top Bottom