Mume wa mtu nouma

Mume wa mtu nouma

mara
mke wake akasikina na kusema ni
malaya gan unampigia sm? nakutaka
uongee nae nikusikie akanigeuzia
kibao na kusema, wewe dada unaakil
timam nimelala na mke wangu alaf unanisumbua we mjinga nin,malaya
wewe usie kuwa na aibu kama
unawashwa kauze upate hela nyooko'' ALIVYOKWAMBIA HAPA WALA HAKUKOSEA TENA NI MADOGO MNO!!... Subiri nawewe ikunasie kwenye 0712/0713/0714 ndio akili itakukaa sawa.. M*a*v*i yako kitali

calm down people...!!!!
 
Last edited by a moderator:
We binti acha tamaa, tulia na mchumba wako
 
Yaan ndugu zangu wanawake bhana,sijui wakati mwingine part ya ubongo kwa ajili ya reasoning huwa mnaazimisha....Yaan wamama nawakubali sana lakini linapokuja tu suala la mapenzi na mahusiano, basi nadhani akili zenu huwa zinasimama kwa muda halafu hiyo nafasi inachukuliwa na moyo.
Wewe bi dada, unafikiri vizuri kweli???Umeshasema ni mume wa mtu, halafu bado unahitaji kujua kama unapendwa, khaa!!!
 
wanawake akili zenu sometimes kama zimetiwa gundi....


Unajua kabisa ana mke halafu unauliza kama anakupenda?

Huwezi fikiria kuwa anataka K tu huyo?

Huwezi fikiri kuwa anatumia lugha tamu na laini, kama mwanume yoyote angetumia kukutongoza?

Una your childhood sweetheart, unatafuta nini? Hakuridhishi?
 
Yaan ndugu wanawake bhana,sijui wakati mwingine part ya ubongo kwa ajili ya reasoning huwa mnaazimisha....Yaan wamama nawakubali sana lakini linapokuja tu suala la mapenzi na mahusiano, basi nadhani akili zenu huwa zinasimama kwa muda halafu hiyo nafasi inachukuliwa na moyo.
Wewe bi dada, unafiri vizuri kweli???Umeshasema ni mume wa mtu, halafu bado unahitaji kujua kama unapendwa, khaa!!!
kuna watu unawapendelea kumbee!enh!yani of oll ae pipo wewe ni wa kutoa haya majibu kwa mineno mbofu mbofu ya aina hii!ah mtani !give me the watu8 i wud kill to miss in JF bana
 
Last edited by a moderator:
wanawake akili zenu sometimes kama zimetiwa gundi....


Unajua kabisa ana mke halafu unauliza kama anakupenda?

Huwezi fikiria kuwa anataka K tu huyo?

Huwezi fikiri kuwa anatumia lugha tamu na laini, kama mwanume yoyote angetumia kukutongoza?

Una your childhood sweetheart, unatafuta nini? Hakuridhishi?
kuan watu nawaamini ujue kwenye mada za aina hii af mmeniangusha mbaya!
 
Achana nae jaribu ilo ndo unalipitia bkea ulishinde.
Huyo anataka akuonje akuache,af pia ni muongo,kigeugeu,katil na anakulegezea msimamo. Kuwa makini.
Mume wa mtu ohoo mtanasiana shaurilo!
 
Wewe hujiamini na hujitambui hilo ndo tatizo la nyie viumbe vya kike.thus y asikwambie m2 mwanaume akisha ngonoka uzur wako wote unakuwa umeishia kitandan pale .

wewe binti una tamaa tena hufai kuwa mke utaka ushauri gani wakati majibu unao utakuaje na mahusiano na mume wa mtu?tayari una mchumba kinachokuangaisha ni nini kama c roho ya umalaya acha tambia hiyo itakugarimu
 
We ushaambiwa utapewa kila kitu unachotaka hapa duniani. Unataka nini? unanyumba? gari? wazazi wako wamejenga?
Wadogo zako wote wako shule za st. au islamic?
Changanya na zakwako.
 
hakunaga mapenzi,kupendana ni zama za kale..yaanì unataka uwé kipozeo cha mume wa mtu! Kupanga nikuchagua.
 
kuna watu unawapendelea kumbee!enh!yani of oll ae pipo wewe ni wa kutoa haya majibu kwa mineno mbofu mbofu ya aina hii!ah mtani !give me the watu8 i wud kill to miss in JF bana

Mbona maneno yamenyooka mtani wangu, wapi kuna mushkeli kwani?
huyu dada yangu imebidi tu nimpe naked truth mtani...kwa nini muendelee kudanganywa jamani.
Hivi mtani kweli unaamini mtu ana mke wake aje tu akuambie anakupenda, nawe roho yako kwatuuu kabisa unaenda kuomba ushauri kujua kama kweli wapendeka...hii haipo sawa kabisa
 
Heheheehheeeee!! Jamani dunia ina mambo!!! Pole sana mamii ukifika miaka 30 hutapata shida ya kutatua matatizo kama haya.
 
Huyo ndio wa ukwel imng'ang'anie sana na wewe ukiwa na mchumba wako usiku mpigie simu uongee nae kama alivyoongea na wewe, hapo mapenzi yenu yataongezeka maradufu
 
Mim ni msichana,nina umri wa miaka 22,ni mfanyabiashara, nina mchumba wangu na tunapendana sana alinipenda toka tukiwa wadogo mpaka leo niko nae na tunampango wa kuoana. Sasa kinacho nishangaza mim nikwamba,siku moja nikiwa kazin katokea kijana mmoja na kuniambia kuwa ananipenda sana na upo tayari kunipa kila kitu ninacho hitaji ila nikampotezea kwa kuwa ninae mchumba, akaendelea kunisumbua, nakudai ananipenda kupita maelezo, mim nikamuulizaje,kama kweli unanipenda kwa moyo wako wote funguka niambie ukweli juu ya maisha yako, ukweli hakusita kuniambia kuhusu maisha yake na ukweli wenyewe ulikuwa hv, ameoa na ana mtoto mmoja ila ananipenda mim kuliko mke wake. sasa tatizo ni kwamba,one day kanipigia sm usiku nikapokea akaanza kusema hiv,hellow sweety ,uko pouwa! nimekumis je? nam nikamwambia niko pouwa mara mke wake akasikina na kusema ni malaya gan unampigia sm? nakutaka uongee nae nikusikie akanigeuzia kibao na kusema, wewe dada unaakil timam nimelala na mke wangu alaf unanisumbua we mjinga nin,malaya wewe usie kuwa na aibu kama unawashwa kauze upate hela nyooko. je huyo ananipenda kwel au anataka dampo. ushaur plz....


We tayari una mchumba na mko katika mikakati ya kufunga ndoa, inawezekanaje akaja mtu mwingine akakwambia kuwa anakupenda na bado ukaamini? Na mbaya zaidi keshakwambia ni mume wa mtu? Yaani hata hili ambalo liko wazi hivi unataka ushauri? Wenzako wamenasana jana, subiri na wewe sasa yakukute ndo utajua kuwa mume wa mtu ni noooma!
 
....mimi naona anakupenda sana tu, alikuwa anampotezea maza hausi........ kama vipi mpigie tena umuulize.....
 
Back
Top Bottom