Mume wa mtu nouma

Mume wa mtu nouma

pole sana dada wenzio mhogo unakatalia ndani inashindikana kutoa wewe bado unataka, utakufa take care
 
Mim ni msichana,nina umri wa miaka 22,ni mfanyabiashara, nina mchumba wangu na tunapendana sana alinipenda toka tukiwa wadogo mpaka leo niko nae na tunampango wa kuoana. Sasa kinacho nishangaza mim nikwamba,siku moja nikiwa kazin katokea kijana mmoja na kuniambia kuwa ananipenda sana na upo tayari kunipa kila kitu ninacho hitaji ila nikampotezea kwa kuwa ninae mchumba, akaendelea kunisumbua, nakudai ananipenda kupita maelezo, mim nikamuulizaje,kama kweli unanipenda kwa moyo wako wote funguka niambie ukweli juu ya maisha yako, ukweli hakusita kuniambia kuhusu maisha yake na ukweli wenyewe ulikuwa hv, ameoa na ana mtoto mmoja ila ananipenda mim kuliko mke wake. sasa tatizo ni kwamba,one day kanipigia sm usiku nikapokea akaanza kusema hiv,hellow sweety ,uko pouwa! nimekumis je? nam nikamwambia niko pouwa mara mke wake akasikina na kusema ni malaya gan unampigia sm? nakutaka uongee nae nikusikie akanigeuzia kibao na kusema, wewe dada unaakil timam nimelala na mke wangu alaf unanisumbua we mjinga nin,malaya wewe usie kuwa na aibu kama unawashwa kauze upate hela nyooko. je huyo ananipenda kwel au anataka dampo. ushaur plz....

Duh, kweli ukistaajabu ya Mussa utaona utaona ya van dame....
 
Eti anakupenda wewe kuliko mke wake, na wewe ukaamini bichwa hiloo? Hebu waelewe wanaume kwanza, na kama umempatia kipochi manyoya kwisheni!!!.. tulia na huyo swithat wako, acha tamaa mamii!!!
 
mim ni msichana,nina umri wa miaka 22,ni mfanyabiashara, nina mchumba wangu na tunapendana sana alinipenda toka tukiwa wadogo mpaka leo niko nae na tunampango wa kuoana. Sasa kinacho nishangaza mim nikwamba,siku moja nikiwa kazin katokea kijana mmoja na kuniambia kuwa ananipenda sana na upo tayari kunipa kila kitu ninacho hitaji ila nikampotezea kwa kuwa ninae mchumba, akaendelea kunisumbua, nakudai ananipenda kupita maelezo, mim nikamuulizaje,kama kweli unanipenda kwa moyo wako wote funguka niambie ukweli juu ya maisha yako, ukweli hakusita kuniambia kuhusu maisha yake na ukweli wenyewe ulikuwa hv, ameoa na ana mtoto mmoja ila ananipenda mim kuliko mke wake. Sasa tatizo ni kwamba,one day kanipigia sm usiku nikapokea akaanza kusema hiv,hellow sweety ,uko pouwa! Nimekumis je? Nam nikamwambia niko pouwa mara mke wake akasikina na kusema ni malaya gan unampigia sm? Nakutaka uongee nae nikusikie akanigeuzia kibao na kusema, wewe dada unaakil timam nimelala na mke wangu alaf unanisumbua we mjinga nin,malaya wewe usie kuwa na aibu kama unawashwa kauze upate hela nyooko. Je huyo ananipenda kwel au anataka dampo. Ushaur plz....

unaonekana unatamaa, au boyfrnd wako hana uwezo wa kukuhudumia, keshakwambia ana mke we unataka nini kwake tena? Mungu katupa akili za kujua mema na mabaya ila binadamu wanageuza ubaya kuwa wema........angalia sana weeeeeeeee
 
Kha!!! una mchumba wako, keshakwambia yeye ameoa, sidhani kama kuna haja ya kuomba ushauri hapo dada. Watu wengine sijui vipi!!! binafsi nilipokuwa bado sijaolewa nkisha ligundua lianaume lina mke hata niwe nalipenda kiasi gani mapenzi yanaishia hapo. Ebu kuwa na msimamo dada yangu, yaani wadada tunajidharaulisha wenyewe halafu tunalalama eti wanaume wanatuchezea!!! sasa mtu ushamujua ni mpitajia tu we bado umo umo tu!!! halafu eti unaomba ushauri. Khaaa!!!!!!!
 
Mmh! Sina cha kushauri hapa
 
kweli aliyesema 'wanawake mwalimu wao kipofu' hakukosea.....ni hayo 2!
 
Mahabuba wako huyo!Huwezi kupata mwanaume anyekupenda kama huyo yaani anakwambia ukweli woote bila chenji!
 
uko serious or unatania? Mume wa mtu+wewe ni mchumba wa mtu=>unaulizia kama huyo mume wa mtu kakupenda!
:.Hivi una akili kweli au?
Mume wa mtu+Kukupenda wewe+wakati tayari ashampenda mmoja kamuweka ndani=kakuita malaya=> upendo wake kwako huoni ni wakati mkiwa wawili tu!?
mbele za watu anakuita malaya!!!
Huyo mchumba wako angefanya hivyo wewe ungejisikiaje?
 
ah mbona sharing is caring jamani...wewe mpe nae aonje utamu wa K yako bana. wanawake acheni kubani hizo K zenu

jamani! kwan zmekua karanga! yan kila anaetaka aonje!
 
UKIMWACHA HUYO HUTAKAA UPATE MWINGINE ATAKAYEKUPENDA NAKUKUAMBIA MANENEO MATAMU KAMA HAYA

'''''''wewe dada unaakil timam nimelala na mke wangu alaf unanisumbua we mjinga nin,malaya wewe usie kuwa na aibu kama unawashwa kauze upate hela nyooko'''''''

NG'ANG'ANIA HAPO HAPO MWENZANGU ANAKUPENDA SANA HUYO
 
Jitahidi kuwa mwanamke mwenye msimamo bwana, kwanza kama ulivyosema wewe tayari unamchumba na mbali ya yote umekiri kabisa mnapendana na mna mpango wa kuja kuoana, sasa kama ni hivyo ni kwanini basi unaruhusu mwanaume ambae sio mchumba wako anakukaribia kimapenzi kiasi hicho?..........................Halafu kitu kingine cha muhimu zaidi hebu pendaneni na muoneane huruma nyie dada zetu, wewe mtu ameshakwambia ameoa na isitoshe zaidi tayari ana mtoto......amesha kuwa baba huyo na ana majukumu ya kutunza familia tayari, oky let's go to the next point>>>>>

Sasa katika swala kama hili na wewe kama mwanamke wa kisasa, mpenda maendeleo, mpenda amani na mzalendo wa haki za wanawake na pia unaetambua kuwa hakuna familia iliyo bora inayoweza kujengwa pasi na kuwa na mwanamke mwenye msimamo thabiti wa kimapenzi kwa mumewe na familia yake kwa ujumla. Sasa kama ni hivyo basi, kwa nini unataka kuanza kusababisha mchumba wako aanze kujiuliza..........je tupo wangapi?

Sasa yangu ni haya
1. Jitahidi kuwa na mapenzi ya dhati kwa mchumba wako, kama ulivyosema mlianza kupendana tokea wadogo

2.Tambua kuwa huyo jamaa huyo anaekusumbua tayari anafamilia, nikwamba hapo ukicheza rafu tu basi jua umevunja ndoa ya watu......yakawa kama yale ya mwana meka......Na kikubwa zaidi utasababisha mtoto(kiumbe asiye na hatia) kukosa malezi ya familia bora, na isitoshe, hivi ukiwa umekaa utajisikiaje moyoni endapo utajikuta wewe ndio umekuwa sababu kubwa ya kuvujika kwa ndoa ya watu?

3.Muheshimu mwanamke mwenzio

4.Cha msingi hapo, tafakari niliyo eleza hapo halafu chukua hatua..................

roho imeniuma ulivyomjibu kwa ufasaha wakati anaonekana ana utindio wa ubongo huyu dada
 
Hamjamuelewa huyu bint
mimi nimemuelewa kabisa hajasema ukweli
huyu anatembea na huyo cha matusi kafall kwake sasa jamaa kala mzigo kaukinai kampiga chini bi dada akawa busy kumpigia mume wa mwanamke mwenzie simu kubembeleza penzi kwa bahati mbaya akapiga late mume na mkewe wapo sittingrum wanaangalia taarifa ya habari mke akagundua kuna mchezo mchafu.Ikabidi mume apige simu atukane amridhishe mke.
Sasa mtoa mada hapo kaconfuse kafall kwa mume wa mtu,katukanwa na siku ya 3 hajatafutwa loooo
kitali kuwa mkweli utasaidiwa nenda love connect utampata wa kwako
siku njema
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom