Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,096
- 9,074
Leo hii una watoto nae wawili ndio umegundua mume hakutoshelezi? Umejuaje?Hizo PC sio kwamba ni full pc, ni nusu na wala hazioneshi sura,
Inamaana mm ni mjinga kiasi gani nijiachie hivyo,
Jaman nitukaneni mnushutumu, lakin mapenzi yanatesa na nampenda SNA yule jamaa wa Muheza nahisi anaweza nikuna vzr na dudu lake kubwa, Mr HANITOSHEREZI over
Mnitukane lakin vaen kiatu changu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejuaje kama ana dudu kubwa wakati hujawai kutiana nae na umedai picha mmetumiana za nusu?Hizo PC sio kwamba ni full pc, ni nusu na wala hazioneshi sura,
Inamaana mm ni mjinga kiasi gani nijiachie hivyo,
Jaman nitukaneni mnushutumu, lakin mapenzi yanatesa na nampenda SNA yule jamaa wa Muheza nahisi anaweza nikuna vzr na dudu lake kubwa, Mr HANITOSHEREZI over
Mnitukane lakin vaen kiatu changu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hata cha kukushauri ila nipo tu nawaza I'd yako ya siku zote ni ipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wametumiana za uchi...wewe hiyo nusu umeitoa wapiUmejuaje kama ana dudu kubwa wakati hujawai kutiana nae na umedai picha mmetumiana za nusu?
Empty set
Be Humble is free of charge
Daah.Kuna vitu vingine hata si vyakuomba ushauri,unaabisha wanawake wenzako,wanaume watuone punguani
Hata aiingii akilini,hivi kweli mlikuwa marafiki ukamtamkia unampenda akakuambia anamchumba,hamjawahi sex bado ukampenda hivyo hivyo
Wakati mi mwanaume akinijibu kama hivyo nashukuru kuujua ukweli kuwa ana mtu wake kupenda naacha hapohapo,nabaki kuheshimu mahusiano ya MTU,afu siwezi kusharehuku najua.
Tuachane na hayo umeolewa mnaishi kwa amani,bado unatafutana na huyo rafiki mnarushiana picha za uchi serious??!!
Afu zikija kuvuja utasema shetani alikupitia,badilika unajua kuna mambo mengine hata shetani atawakana
So sad,namuonea huruma Huyo mume alokuweka ndani afu unakipiga picha kitumbua chake unamtumia mwanaume mwingine si ajabu Mr katoka kukishave mwenyewe ajionee kinavutia
Aisee ushauri wangu badilika,mapepo ya ngono na usaliti mnayataka wenyewe kwa kutokulidhika na mlivyo navyo siku vikipotea ndo mtajua thamani yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejuaje kama ana dudu kubwa wakati hujawai kutiana nae na umedai picha mmetumiana za nusu?
Empty set
Be Humble is free of charge
Pole muone mtu yeyote unayemwamini au kiongozi wako wa kiroho akusaidieJaman nimeishi na Mume wangu miaka mitano cjawah chepuka wala kuhisi ntafanya hivyo.
Ila nahisi Nina pepo LA ngono, sio kwamba mume wangu anakibamia hapana yupo wastan Ila sasa shetan naona ananitesa maana nilikua nimesimama SNA, lakin sasa HV najiona ovyo ovyo kila dhambi naitamani, natamani kujaribu kunywa pombe, natamani kila aina ya dhambi.
Yaan nafunga na kuomba lakin nashindwa, nawaza cjui nichepuke labda ntapata raha zaidi kuliko anazonipa mume wangu nifanyaje jaman najiona sio mm kabisaaa.
Jamaa mwenyewe wa kawaida tu, hana pesa za kumzidi mume wangu ila basi tuu. Nisaidien jaman najikuta nampenda mpaka napoteza hamu ya mume wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndiyo napataka sasa mrembo. Kwanini usinifundishe PM maana huku siko huru sana kuuliza maswali.Anayejua kumridhisha mwanamke ni mwanaume sio mwanamke
We naeHapo ndiyo napataka sasa mrembo. Kwanini usinifundishe kupitia PM maana huku siko huru sana kuuliza maswali.
Unamridhishaje? Unamchekesha au maana mm sielewi hata mmoja.
Fanya unaloliona linakufaa na linakupa amani ya nafsi yakoJaman nimeishi na Mume wangu miaka mitano cjawah chepuka wala kuhisi ntafanya hivyo.
Ila nahisi Nina pepo LA ngono, sio kwamba mume wangu anakibamia hapana yupo wastan Ila sasa shetan naona ananitesa maana nilikua nimesimama SNA, lakin sasa HV najiona ovyo ovyo kila dhambi naitamani, natamani kujaribu kunywa pombe, natamani kila aina ya dhambi.
Yaan nafunga na kuomba lakin nashindwa, nawaza cjui nichepuke labda ntapata raha zaidi kuliko anazonipa mume wangu nifanyaje jaman najiona sio mm kabisaaa.
Jamaa mwenyewe wa kawaida tu, hana pesa za kumzidi mume wangu ila basi tuu. Nisaidien jaman najikuta nampenda mpaka napoteza hamu ya mume wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huna pepo la ngono wala nini. Nijibu maswali yafuatayo nikupe ushauriJaman nimeishi na Mume wangu miaka mitano cjawah chepuka wala kuhisi ntafanya hivyo.
Ila nahisi Nina pepo LA ngono, sio kwamba mume wangu anakibamia hapana yupo wastan Ila sasa shetan naona ananitesa maana nilikua nimesimama SNA, lakin sasa HV najiona ovyo ovyo kila dhambi naitamani, natamani kujaribu kunywa pombe, natamani kila aina ya dhambi.
Yaan nafunga na kuomba lakin nashindwa, nawaza cjui nichepuke labda ntapata raha zaidi kuliko anazonipa mume wangu nifanyaje jaman najiona sio mm kabisaaa.
Jamaa mwenyewe wa kawaida tu, hana pesa za kumzidi mume wangu ila basi tuu. Nisaidien jaman najikuta nampenda mpaka napoteza hamu ya mume wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha nusu kwa maana kwamba haoneshi mwili mzima hadi sura yake ila uchi unakuwa clearsi amesema pale juu kwamba alikuwa anatuma picha nusu
Be Humble is free of charge