Habari za weekend wakuu
Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja Muheza Tanga alikuwa kikazi na mimi pia nilikuwa nipo pale kikazi. Tulikuwa marafiki sana nikajikuta nampenda sana ila yeye alikuwa na mahusiano yake.
Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda sana akasema hata yeye ana hisia na mimi ila ana mchumba wake anamsomesha so hawezi kumuacha. Basi niliumia lakini nilimuelewa tukabaki kuwa marafiki.
Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr ananipenda na wote tuna hofu ya Mungu hatujawahi kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.
Jamaa yangu yule wa Muheza naye mwaka juzi akaoa, lakini ndoa yao haina amani wanagombana kila siku.
Mwaka jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengana basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana picha mpaka za uchi nikajikuta nampenda sana kuliko hata mume wangu na hapo hatujawahi kusex hata siku moja.
Mwaka jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa sababu hata mimi pia nina mume so sio big inshu.
Akaniambia, "Unajua nini V, tulia kwenye ndoa yako Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa amani acha mm nipambane na hali yangu. Nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakini mumeo akija kuona chat zetu atakuua."
Niliumia nikamwambia okey lakini umeniteka akili yangu naumia sana juu yako, natamani tukutane hata siku moja tupeane raha halafu tuachane akasema sawa ila mawasiliano na mimi kapunguza anaogopa mke wa mtu na mimi nimeshadata kwake.
Sijawahi kuchepuka hata siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuwaje sababu ananiamini sana.
Yule jamaa wa Muheza nampenda sana tena sana na yeye ananipenda lakini naogopa kuchepuka.
Naombeni ushauri, nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
hauna hofu ya mungu dada, kama ungekuwa na hofu wala usingekubari kutumiana picha za uchi...
Sent using Jamii Forums mobile app
jitafakari acha utani na mungu. 😂😂kweli hapo ni kama tayari wameshamenyanaHuyo jamaa wa muheza kashakushauru vizuri tu. Acha mawasiliano naye utamfuta akilini mwako ,ila ukiendeleza mawasiliano,lazima utachepuka ingawa kuchepuka nusu tayari,si mmeshaoneshana nyuchi zenu
😂😂😂Inatokea sana,,na ndio maisha halisi yaliyomo huko uraiani,,sema nn hyu kaweka wazi tuu,,Unahofu ya MUNGU na huku unampenda mume wa mtu na wewe unamume wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Babu we unashangaa mke wa mtu,,kutuma papuchii,,mapenzi yana nguvu sanaMke wa mtu unaonyesha uchi wako kwa mwanaume mwingine alafu unasema unampenda mungujitafakari acha utani na mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hapo ww ndio ss umeongeaKWANI KUCHEPUKA NI NINI?
AND HOF YA MUNGU NI NINI?
kuna vitu hembu mumuache Mungu wa watu ahesabu makundi yake ya malaika akimaliza ajipe zake siesta!
😂😂😂😂Aisee,
(Kutumiana picha za uchi, mke wa mtu kutamani kupeana raha na mume wa mtu)
Hiyo hofu ya Mungu unayojinasibu kuwa nayo ni ya Mungu yupi?
Tafadhali tubu hiyo dhambi haraka na utulie na mumeo.
Nb:-
Hebu nitumie na mimi hizo picha nithibitishe kama ni za uchi kweli?
Naona umeamua kumjaribu shetani. achana na hizo fikra. Unafikiria kwamba huyo jamaa ni mwema kwa kuwa uko mbali naye. Ukizama jumla yatakukuta yaliyomkuta mwenzio.Habari za weekend wakuu
Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja Muheza Tanga alikuwa kikazi na mimi pia nilikuwa nipo pale kikazi. Tulikuwa marafiki sana nikajikuta nampenda sana ila yeye alikuwa na mahusiano yake.
Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda sana akasema hata yeye ana hisia na mimi ila ana mchumba wake anamsomesha so hawezi kumuacha. Basi niliumia lakini nilimuelewa tukabaki kuwa marafiki.
Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr ananipenda na wote tuna hofu ya Mungu hatujawahi kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.
Jamaa yangu yule wa Muheza naye mwaka juzi akaoa, lakini ndoa yao haina amani wanagombana kila siku.
Mwaka jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengana basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana picha mpaka za uchi nikajikuta nampenda sana kuliko hata mume wangu na hapo hatujawahi kusex hata siku moja.
Mwaka jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa sababu hata mimi pia nina mume so sio big inshu.
Akaniambia, "Unajua nini V, tulia kwenye ndoa yako Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa amani acha mm nipambane na hali yangu. Nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakini mumeo akija kuona chat zetu atakuua."
Niliumia nikamwambia okey lakini umeniteka akili yangu naumia sana juu yako, natamani tukutane hata siku moja tupeane raha halafu tuachane akasema sawa ila mawasiliano na mimi kapunguza anaogopa mke wa mtu na mimi nimeshadata kwake.
Sijawahi kuchepuka hata siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuwaje sababu ananiamini sana.
Yule jamaa wa Muheza nampenda sana tena sana na yeye ananipenda lakini naogopa kuchepuka.
Naombeni ushauri, nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
God bless u mwambaAliyekuuliza nani? Ona moyo unavyoteseka. ...
Olewa wewe kuna Maisha baada ya ujana. ...
Kuna umri utafika idadi ya wanaume wanaovutiwa na wewe itapungua. ...
Itafika hatua wiki inapita au hata mwezi unaisha hupat hata mwanaume wa kukupa hai....
Usiku utafika utataman pawepo na mtu wa kukunong'oneza Lakn utaishia kukumbatia mito tu.....
Hapo ndipo utaanza kuhangaika kutwa kwa waganga na kuhonga vitoto vidogo. ....
Lililopangwa na mungu halitapanguliwa na kukawa salama. .....
Tena nakushauri bora uzae hata watoto watakuja kukuliwaza