Mume wa mtu ananitesa

Mume wa mtu ananitesa

Hapo unachotafuta ni nini? maana mmesha sex kinadharia, bado kwenda Lab kutest kwa vitendo..huyo Mungu unaemuogopa ni yule wa Kenya (mungu Wanyonyi) au ni Mungu muumbaji? we endelea tu
 
Habari za weekend wakuu

Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja Muheza Tanga alikuwa kikazi na mimi pia nilikuwa nipo pale kikazi. Tulikuwa marafiki sana nikajikuta nampenda sana ila yeye alikuwa na mahusiano yake.

Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda sana akasema hata yeye ana hisia na mimi ila ana mchumba wake anamsomesha so hawezi kumuacha. Basi niliumia lakini nilimuelewa tukabaki kuwa marafiki.

Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr ananipenda na wote tuna hofu ya Mungu hatujawahi kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.

Jamaa yangu yule wa Muheza naye mwaka juzi akaoa, lakini ndoa yao haina amani wanagombana kila siku.

Mwaka jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengana basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana picha mpaka za uchi nikajikuta nampenda sana kuliko hata mume wangu na hapo hatujawahi kusex hata siku moja.

Mwaka jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa sababu hata mimi pia nina mume so sio big inshu.

Akaniambia, "Unajua nini V, tulia kwenye ndoa yako Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa amani acha mm nipambane na hali yangu. Nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakini mumeo akija kuona chat zetu atakuua."

Niliumia nikamwambia okey lakini umeniteka akili yangu naumia sana juu yako, natamani tukutane hata siku moja tupeane raha halafu tuachane akasema sawa ila mawasiliano na mimi kapunguza anaogopa mke wa mtu na mimi nimeshadata kwake.

Sijawahi kuchepuka hata siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuwaje sababu ananiamini sana.

Yule jamaa wa Muheza nampenda sana tena sana na yeye ananipenda lakini naogopa kuchepuka.

Naombeni ushauri, nifanyeje?



Sent using Jamii Forums mobile app

NOTHING GOOD HAS EVER COME OUT OF INFEDILITY!!!! TULIA KWENYE NDOA YAKO.
 
Kinacho kuumiza ni kumtumia jamaa picha za uchi halafu hajakugonga mpaka leo,

Ilishawahi nitokea ,kuna mother flani alitokea kunipenda sana but mim sikumpenda kiivo kutokana na umbo lake ,akawa ananitumia picha,nilimblock kila mahali then nikabaki kimya mpaka Leo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hufai hata kwa kusukia jamvi. Heshimu ndoa yako na utulie usitake ushauri wa kijinga.
 
Mungu atabaki kuwa Mungu milele.........umeshachepuka 50%.....sasa unahangaika.....huyo jamaa ana busara sana......jisafishe moyoni mwako uishi kwa amani....wala usitake awe sijui kaka rafiki...wacha kabisa......ibilisi anakuotea,,,mpinge kwa nguvu zako zote........unachotaka kumpa mpe chote "MMEO"
 
KWANI KUCHEPUKA NI NINI?
AND HOF YA MUNGU NI NINI?


kuna vitu hembu mumuache Mungu wa watu ahesabu makundi yake ya malaika akimaliza ajipe zake siesta!
 
Huyo jamaa wa muheza kashakushauru vizuri tu. Acha mawasiliano naye utamfuta akilini mwako ,ila ukiendeleza mawasiliano,lazima utachepuka ingawa kuchepuka nusu tayari,si mmeshaoneshana nyuchi zenu
😂😂kweli hapo ni kama tayari wameshamenyana
 
Aisee,
(Kutumiana picha za uchi, mke wa mtu kutamani kupeana raha na mume wa mtu)
Hiyo hofu ya Mungu unayojinasibu kuwa nayo ni ya Mungu yupi?
Tafadhali tubu hiyo dhambi haraka na utulie na mumeo.

Nb:-
Hebu nitumie na mimi hizo picha nithibitishe kama ni za uchi kweli?
😂😂😂😂
 
Habari za weekend wakuu

Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja Muheza Tanga alikuwa kikazi na mimi pia nilikuwa nipo pale kikazi. Tulikuwa marafiki sana nikajikuta nampenda sana ila yeye alikuwa na mahusiano yake.

Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda sana akasema hata yeye ana hisia na mimi ila ana mchumba wake anamsomesha so hawezi kumuacha. Basi niliumia lakini nilimuelewa tukabaki kuwa marafiki.

Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr ananipenda na wote tuna hofu ya Mungu hatujawahi kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.

Jamaa yangu yule wa Muheza naye mwaka juzi akaoa, lakini ndoa yao haina amani wanagombana kila siku.

Mwaka jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengana basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana picha mpaka za uchi nikajikuta nampenda sana kuliko hata mume wangu na hapo hatujawahi kusex hata siku moja.

Mwaka jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa sababu hata mimi pia nina mume so sio big inshu.

Akaniambia, "Unajua nini V, tulia kwenye ndoa yako Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa amani acha mm nipambane na hali yangu. Nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakini mumeo akija kuona chat zetu atakuua."

Niliumia nikamwambia okey lakini umeniteka akili yangu naumia sana juu yako, natamani tukutane hata siku moja tupeane raha halafu tuachane akasema sawa ila mawasiliano na mimi kapunguza anaogopa mke wa mtu na mimi nimeshadata kwake.

Sijawahi kuchepuka hata siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuwaje sababu ananiamini sana.

Yule jamaa wa Muheza nampenda sana tena sana na yeye ananipenda lakini naogopa kuchepuka.

Naombeni ushauri, nifanyeje?



Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umeamua kumjaribu shetani. achana na hizo fikra. Unafikiria kwamba huyo jamaa ni mwema kwa kuwa uko mbali naye. Ukizama jumla yatakukuta yaliyomkuta mwenzio.
 
Aliyekuuliza nani? Ona moyo unavyoteseka. ...
Olewa wewe kuna Maisha baada ya ujana. ...
Kuna umri utafika idadi ya wanaume wanaovutiwa na wewe itapungua. ...
Itafika hatua wiki inapita au hata mwezi unaisha hupat hata mwanaume wa kukupa hai....
Usiku utafika utataman pawepo na mtu wa kukunong'oneza Lakn utaishia kukumbatia mito tu.....
Hapo ndipo utaanza kuhangaika kutwa kwa waganga na kuhonga vitoto vidogo. ....
Lililopangwa na mungu halitapanguliwa na kukawa salama. .....

Tena nakushauri bora uzae hata watoto watakuja kukuliwaza
God bless u mwamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom