Mume wa Mtu ananitaka


Atakuwa member wa JF na amesoma points zako za jana na juzi kuwa unapenda ONS/quickie na unapenda sana SEX kwa hio labda amekuja kukutendea haki.

Hili hapa ni neno la kufanyia kazi dada yangu JS!:focus:
 
:A S 101: Dont answer his calls, never reply his texts, au mpe mpenzi wako simu apokee akikupigia. Ila siku ingine usirudie kugawa namba ya simu hovyo hovyo sawa mama?

Kuna wau hawana aibu; hiyo inaweza isimkatishe tamaa kabisa na inaweza kupelekea akatkamka uongo kwa ujumla ucjaaribu huu mchezo ni hatari
 
Mwambie asubiri kwanza uongee na mkewe kama atakubali pia na huyo mwezi wako! Kwanza kwa nini wewe na huyo mwezi wako hamjafunga ndoa??
 

akiendelea kung'ang'ana mchune hakutaki anakutamani mwongo anataka umpe papuchi akumwage aendelee na mkewe tahayuri ibakie kwako.
 
Sasa JS
mbona hutoi feedback au na wewe umeamua kumtaka? katika usharui niliotoa nilijitolea kuwa "mshikaji wa kusingiziwa" unipe number ya hilo jibaba nizime mashambulizi yake.

Toa feedback itawasadia na wadada zetu wengine wataokumbwa na dhoruba kama lako.

Lakini kama umeamua kumaliza kimya kimya sawa .
 
Nakushauri umkubali. Kwa kuwa umeona hamthamini na kumheshimu mke wake na wewe ujue itakuwa hivyo hivyo kwako. ukuibali tu matokeo yake. Ukimkibali na ukamfurahisha kwa ngono hatakusumbua tena.
 


kama anaendelea kukuganda mchune kwani hakupendi akutamani kwa muda tu akuachie shombo yeye nduki kwa mkewe hovyooooooooooooo midume mengine pukachaka.
 
Hahahaaaa... HIvi JS umeshatatua hili tatizo?
 
akiendelea kung'ang'ana mchune hakutaki anakutamani mwongo anataka umpe papuchi akumwage aendelee na mkewe tahayuri ibakie kwako.

kama anaendelea kukuganda mchune kwani hakupendi akutamani kwa muda tu akuachie shombo yeye nduki kwa mkewe hovyooooooooooooo midume mengine pukachaka.

hivi malisak umeolewa au bado.......:doh:
 
UMENIWAHI TU DUDE!.....
na je,amelitatua vipi sasa?

Mkuu.... I am sure atakuja kutusaidia na namna alivyosovu tatizo

Kongoro la Ohio Bar [Moshono] safi sana
 
Tatizo lishatatuliwa wadau asanteni kwa ushauri.
 
nina miaka 12 kwenye ndoa sina wasiwasi na haachwi mtu full kujiamini upo hapo?.

mmh....hiyo umechanganya ian infidelity ama? sasa wzo la kuchuna 'wanaume' wengine unalipata wapi kama una ndoa ya miaka 12? :doh::doh:
 
Hommie ulijueaje huyu kama ni she?

Ahaa kumbe? Haya tuambie maeksipiriensi yako ya kuchuna waume za watu waliokung'ang'ania!:A S angry:

Hommie unasamehewa kwa kuwa slow learner leo manake najua ni besidei. Umeshasikia mwanaume RIJALI anachuna wanaume wengine?
 
Hommie unasamehewa kwa kuwa slow learner leo manake najua ni besidei. Umeshasikia mwanaume RIJALI anachuna wanaume wengine?
Hilo neno usingeliweka ningekupiga faini..........!
 
Acha kutuzingua,pengine mambo tayari,we kama ulikua huna mpango nae no mlibadilishana za nini?kma sio kutudanganya tu.:hippie:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…