Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
It shall always be well with you sis. couldn't have said it better myself.Usiharibu ndoa ya mwanamke mwenzio. Fikiria yale machozi; lazima ujifunze upendo; na mojawapo ya upendo na kujitoa hata kama wew unaumia Mungu atakutia nguvu. Hawa wanaume wanakwambia nakupenda sana na yule mwanamke wangu nilimuoa tu bt sikumpenda hata; lakin kuna kitu ukijiuliza je akienda kwake anaweza chat na ww zile txt za love? Au akienda kwake unaweza mpigia cm muda wowote unao utaka? Au ndio ile mwanaume anakwambia nipo nyumbani tayar usipige simu wala usinitxt. Hapo sasa utajua kuwa bado anamuheshimu mkewe na anampenda sema akija kwako anataka pumziko sababu kule ukute wife ana makwazo mengi lakin hata akiwa na mwakwazo mengi bado anampenda ndio maaba hamuachi na hii ndio inayoitwa ndoa kuvumiliana ktk shida na raha. Anakuona ww asali sababu hajakaa na ww miaka yooote na mkajuana vzr; sababu umesema kila mtu anaishi kwake. Kuna tofaut ya kumuona mtu dakika au siku moja halafu akaondoka na akarud kwa muda mwngne na mtu kukaa naye kila siku yaan kakukera yupo kakufurahisha yupo tu had unahitaj space ya kupumua bt ndio mume hawez ondoka. Ila kwako akikuudh ataondoka baadaye akirud hasira zimeisha mapenz yanaendelea. Na je akiwa kwako? Mkewe akimpigia simu huwa hapokei simu ya mkewe? Bila shaka anapokea na hatak kumis call wa txt lazima ajibu zote hata kama akiwa yupo na ww karibu sababu ana muheshimu mkewe na hatak kumuumiza; na ukute hata txt za mkewe hazifut ktk simu yake ila za kwako ww mchepuko lazima azifute ili mkewe asizione na hebu kapekue simu kakusave vip ukute ni dada au hajakusave kabisaaaa. Halafuuuu kwanini hutak kuolewa? Hayo maneno yako umejifunga. Kumbuka ktk kinywa zinatoka baraka na laana. Sasa ww umejinenea laana hebu futa hayo maneno kuwa hutak kuolewa; sema sasa nataka kuolewa na yale maneno ya mwanzo yafute kabisaa usimpe shetan nafas akakufunga kwa maneno yako ndio maana hata Mungu anashindwa hata kukusaidia hata akileta mume huon sababu ulisha funga mlango wa ndoa. Na kingineeeee kuzalishwa ni nini? Huyo aliyekupa mtoto ndio akufanye usiolewe.? Jiulize hiv ? Huyo aliyekuzalisha sa hiz anafanya nn; ukute ameshaoa na yupo happy na family yake hata memory na ww hanaaa. Hebu kung'uta mavumbi move on woman move on. Sio wanaume wote wabaya ; nakuhakikishia wapo best husband in da word choic ni yako; ukiamua kuwa mshikio wenzio wanapakua sawa. Bt ukiamua ww ni mpish na bado unapakua na unakula mwenyew ni maamuz yako. Move on utapata mume tena mzuri had watu washangae; acha kung'ang'ana na mume wa mtu unakosa baraka za kupata wako peke yako. Tena tubu hiyo dhambi ili ukiolewa mume wako asifanye hayo kwa wengine ; ziba huo mlango shetan asiingilie na asiutumie bt yakupasa kujutia dhambi uliyo ifanya na urud kwa Mungu. Halafuuuuuu wanaume kukupa pesa hawaonag shida tena akiwa nazo na akiwa na mkono wa kutoa; hata ukitaka nini lazima akupe; mapenz sio pesa though sikatai ina chukua nafasi bt hapa naongelea ule upendo wetu uleee halis wa kina dada au mama ambao Mungu katupatia ule huwa haungalii pesa hata kidogo tunapenda from moyon. Lakin mwanaume anaweza kukupa pesa ukahis anakupenda; hakuna hicho kitu wapo humu ngoja wataeleza vzr; mwanaume anaweza akagawa pesa lakin anajua kabisaaa my heart mwanamke fulan ndiye anaye deserve; anakuja kwako atue mzigo tuu . kulala kwa mkewe hata akiwa kamuudh vip lazima arud kwake. We need strong woman and ua a strong woman;stand up talk to God; speak to Him and tel Him that God help me; am doing this just for u ( God) utaona kama Mungu atakuacha; lazima akutie nguvuu; Mungu anatusikiliza sana sisi wamama or wadada or mabinti sababu tuna something special inside ; evry drop of ua tears Mungu anahesabu. Simama plzzzz. Ooh Mungu Linda mume wangu popote alipo macho yake yawe kwangu tu hata akifumba macho. Amen
Hahah kwa kweli shem apigwe tu upofu wa kiroho popote alipo (na wa kwangu umuombee eti)
#Blessingsswts#