Qur'an
17:32. Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
Kuikurubia zinaa ni dhambi na kuikurubia zinaa kwa mke/mme wa mtu ni zaid ya dhambi mama.
Qur'an
17:32. Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
Ndo maana siku hizi tukimuona mwanaume ana nyumba ndogo tunamdharau tu. Kumridhisha mkewe hawezi, na anaogopa asiaibike mtaani manake mkewe ndo kazoea kumfichia siri. Kazi ipo!
Heshima kwenu wadau.
Mume wa mtu aliyejulikana kwa jina moja la Kayange mkazi wa Mbezi magari saba amefia gesti akiwa na mke wa mtu aliyejulikana kwa jina la Naomi naye mkazi wa Mbezi jijini Dar es salaam.
Imeelezwa bwana Kayange aliaga anaenda Bagamoyo kikazi naye bi Naomi aliaga anaenda safari,wakiwa wamekumbatiana ghafla hali ya bwana Kayange ilibadilika sababu ikiwa ni kuzidisha vidonge vya kuongeza nguvu za kiume..
My take.
Bwana Kayange unamnywea mke wa mwenzio vidonge? MUNGU amekuona nenda kajibu
mbana watu siku hizi hawajiamini kama wanaweza? Mpaka uwezeshwe na vidonge? :A S 39::A S 39::A S 39:
Mmmh! Ni kweli uzinzi unakatazwa humo? Sasa na yule aliyezini ndo tuseme alikiuka maagizo yake?
nawewe jumjui kajange kuwa ni mtu mzima na Naomi ni kigoli