Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,030
- 3,324
Wakuu,
Nimeshangaa sana.
Kuna jamaa mmoja ni mhaya, ana hela hela. Sasa ana guest house kadhaa maeneo tunayoishi.
Huyo jamaa ana mke mrembo, mdogo bado, ndo kwanza alimaliza kidato cha sita mwaka juzi ila hakufaulu.
Sasa kumbe kuna mshkaji mmoja ambaye ni bwana kilimo hili eneo, alikuwa anamlia timing mke wa huyo Mhaya. Mwisho wa siku akampata.
Katika hali ya kushangaza, ameingiza huyo mwanamke kwenye guest ya mumewe kuchachua. Sasa baada ya kulipia room wameingia ndani kama nusu saa hivi, wanasikia mlango unagongwa. Kumbe mhudumu wa guest alimtonya Mhaya.
Bwana kilimo alipigwa kinoma, akalazwa kituoni, amemlipa Mhaya 1M ndiyo akatoka.
Mhaya naye hajamfanya neno mkewe, bado wanaishi na ile fine ameitumia kumfanyia shopping ya nguo mkewe.
Nimeshangaa sana.
Kuna jamaa mmoja ni mhaya, ana hela hela. Sasa ana guest house kadhaa maeneo tunayoishi.
Huyo jamaa ana mke mrembo, mdogo bado, ndo kwanza alimaliza kidato cha sita mwaka juzi ila hakufaulu.
Sasa kumbe kuna mshkaji mmoja ambaye ni bwana kilimo hili eneo, alikuwa anamlia timing mke wa huyo Mhaya. Mwisho wa siku akampata.
Katika hali ya kushangaza, ameingiza huyo mwanamke kwenye guest ya mumewe kuchachua. Sasa baada ya kulipia room wameingia ndani kama nusu saa hivi, wanasikia mlango unagongwa. Kumbe mhudumu wa guest alimtonya Mhaya.
Bwana kilimo alipigwa kinoma, akalazwa kituoni, amemlipa Mhaya 1M ndiyo akatoka.
Mhaya naye hajamfanya neno mkewe, bado wanaishi na ile fine ameitumia kumfanyia shopping ya nguo mkewe.