MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 7,986
- 6,247
We unafikiri hata wanaoongoza kwa kudanja na ngoma ni akina nani!! Ni hao hao walioko kwenye ndoa wanakula na kuliwa kwa kwenda mbele kisa kukomoana!!!
...Hapo chacha
We unafikiri hata wanaoongoza kwa kudanja na ngoma ni akina nani!! Ni hao hao walioko kwenye ndoa wanakula na kuliwa kwa kwenda mbele kisa kukomoana!!!
jamani ndani ya ndoa shida tupu.....huwezi jua historia ya hawa ndugu. e.g kama umekuwa wa kwanza kutoboa mwali basi ukikutana naye lazima akulilie umle, ikishindikana ujue hatatulia kamwe.....
weka picha ya naomi....
ndio, maana matukio haya ni nadra....!teh!bteh! Ili tuone uhalali wa mtu kufa juu yake!
Kwani wewe ni msafi ili uwe wa kwanza khukumu?Kila jambo lina mshahara wake."Mshahara wa dhambi ni mauti"
Hapana Mkuu! Hii ni aibu kabisa!