lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,116
Namasteeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! (Mwaka mpya salamu mpya! mambo ya kuchukuchu hotaheeeee!)
Mazungumzo Kabla ya Habari!!!!! (Baada ya BAN)
Wanga wote miniwacheeeee hii 2014, SITAKI SHARI NA MTU! Hamlazimishiwi kusoma hizi thread! Ukiona vipi Jikate! Msione nimetoka BAN mkazani nina Mswalie Mtume sinaaaaaaaaa! Mwendo ule ule NAWACHAMBA WIMA WIMA, Mara million nipigwe BAN DAILY kuliko kuwakopesha! Ukileta za kuleta unachambwa uzuri na UKASHTAKI VIZURI KWA MODES! Thread kibaooo WANGA msiijazie nzi humu!!!!!!!! Sijawaita kwa kadi ya mwaliko humu! Mnituweeeeeeee! Dume zimaaa unachambwa hazarani si bure utakuwa SI RIZIKI!!!!!!!!!!!!!! Na KUCHAMBANANA MIMI UWE NA JF SENIOR EXPERT MEMBER atiiiiiiii au walau umelipia ukapewa Gold Member! New member kuwapa KICK humu iliishia mwaka jana! Mwaka huu watafuta kick! NAWATIA KWENYE DUSTBIN MAZIMAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!! Hio inaitwa .............. NAWAPOTEZEAAAAAA!!!!!!!!!
BACK TO TOPIC
Mwaka jana kati kati bibi dada mmoja, alijibinafsishia na kumtaifisha mume wa mwenzie mchana kweupeeeee!!!! Si kuwa Mume wa mtu waloana, la hasha! Walizaa tu watoto 3 pamoja. Bi dada yuko vizui kumpata yule bwana, akamtolea mahari fasta fasta akafunga nae ndoa lutheran! Makubwaaaaaaaaaa! Wote wachaga wenzangu!
Harusi ilikuwa crash program, hela uliyonayo ndo unatoa maana ilikuwa short notice! Mhhhhhhhhh! Ukistaajabu ya Musa utashangaa ya firauni!!!!!!! Ilileta mkanganyiko, watu wazima kwenda kumsuta na kumchambaa asifanye hilo jaribio la kupindua serikali kuu, mwenzie na watoto wa 3 ataenda wapi goal keeper yule. (Dont get the impression im mocking her because im not) ila ndo hivo tenaaa mtu mzima hatishiwi nyau! Mumeo nimemchukua, wacha nijishebedue mke mwenzangu unijue! We maliza kuku kwa mganga Mumeo mie ndo ninae ndani! IT WAS SAD! Ndumila kuwili hatukukosekana huku tunasema alivofanya shost vibaya kweliii! Huku tunpokea malace wig ya kusimamia na satin za Dubai! Njaa mbaya sanaaa! Na ushoga mjini ni full time job. Japo dhambi ilitubidi kutoa pongezi!
Tukirudi nyuma Bidada alikuwa anafanya kazi na hilo Gumegume, na alikuwa anamjua fika my wife wake maana alikuwa anakuja ofisini kwao, sasa sijui ni yeye ama karogwa ila yaliyomo yalikuwamo.! Huwezi jua maybethe guy had a SITUATION! ambayo si wa nje kuhukumu rahisi, ila nionavyo mie kumuacha mkeo na watoto wa 3 ukaoe mdada mwengine hata hujazaa nae, na usiku unakoroma peacefully si jambo rahisi!!!!!!!!!! We may never find out the truth but it was UNFAIR kwa yule bibie alieachwa! Na hakuachwa nusu, mazimaaa, na watoto kawapeleka kijijini. Bi dada yupo anapika mama lishe mjini hapa! CHOZI LA MNYONGE LALIPWA KWA MUNGU BABA! Japo la samaki lamezwa na bahari. Mungu AMKIRIMIE afungue Hoteli 5 star na apate ampendae, alisamehe na kulsahau gumegume hili. Dua zangu zifike moja kwa moja.
Huku harusi ikafungwa ya kukata na shoka, msizanie coz nimesema short notice mkajua ilichinaaa,weeee! Dhubutu yenu! It turne out ndumila kuwili tulikuwa wengi mno! Fahari ya ndoa mwisho wake honey moon. Sijui laana ama bibi alienda kuroga, yue bwana si akaachishwa kazi!!!!!!!!!? Ashinda kwenye TV! Mhhhhhhhh! N a baada ya ndoa alihamia kwa bi dada eeeeh! Ndo kushinda kwenye DSTV ya bi dada 24/7 hata kama kazi imekuwa bahati mbaya kahangaike basi mwana baba hata ukikosa umejituma sio kulikomoa sofa na Telemundo my heart beats for lola na Delmonte Dynasty. Ndo hivo hatoki wala hajitumi. Bi dada kamvumilia Nusu MWAKA!!!!!!!! Khaaaaaaa! Umlishe, umvishe mtu mzima, pocket money umjue wewe, kodi uzijue wewe, wanae kijijini uwajue wewe Inahuuuuuuuuu????????? Aku babu sitaki mizigo mie! (Ni mie lakini si yeye jamani!)
Ndo hivo hali iko hivo, ukichukulia kiwepesi waweza hisi katiwa zongo na mkewe wazamani aishi tu humo ndani ka mjusi asitikisike! Mbona MAJARIBU! Hataki wazae, haelewekiiiiiiiiii! Shosti kachokaaa! Kakubali AMEBUGI MEEEN! Tukamwambia ng'ang'ania hapo hapo UTUKOME SIE tunaoshika bango hutodumu kwenye hio ndo! Ukibwaga manyanga tunafanya party! We komaa nayo hivo hivoo. Kama huna inspiration ya kuendelea fom the inside, hata hii hatred rom the outside ikuinspre ubakie ndoani manake sahvi YOU ARE DISPEAKABLE kwa ulikwisha tenda ukimtema huyo bwana takuwa DISGUSTING!!!!!!! Usjaribu!
Ndoa umeitaka kwa chati haya hiyo hapo! Ayayaaaa umeolewa utarudi nyumbani kutembea sasa ndo utulize kalio kwa mmeo katika shida na raha! Kakondaje kwa stress? Hana hamu saa 11 ifike arudi kwa Habby! Hahahaaaaaa! Halooooo! Ndoa hiz!!!!!!! Mara aambiwe yeye ndo anamletea huyo bwana Gundu! Tangu kamuoa mmbo hayaendi!!!!!!!! Makubwaaaaaaa!!!!!!!!! Mume fahari na wa maana muone kwa MWENZIO!!!!!!!!!! Akipita kang'aaa , katokelezeaaaaa jasho la mkewe lile, Ukimkuta bar akakuhonga mchemsho utamuona wa maana kumbe husle za mkewe familia isonge, yeye kama yeye bila mkewe MAJANGAAAA! Wake za watu wakikusimulia walivoanza na waume zao na SHUKA 2! Utachokaaa! ukijitia mpana kama pazia la cinema ndo kama hivi yaliyomkuta bi dada.!!!!!!!
Ndo maana nasisitiza KUDOKOA ndo ujanja KUKWANGUA UKOKO NI KUMBEEP MPISH!!!!!!
HERI YA MWAKA MPYAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mazungumzo Kabla ya Habari!!!!! (Baada ya BAN)
Wanga wote miniwacheeeee hii 2014, SITAKI SHARI NA MTU! Hamlazimishiwi kusoma hizi thread! Ukiona vipi Jikate! Msione nimetoka BAN mkazani nina Mswalie Mtume sinaaaaaaaaa! Mwendo ule ule NAWACHAMBA WIMA WIMA, Mara million nipigwe BAN DAILY kuliko kuwakopesha! Ukileta za kuleta unachambwa uzuri na UKASHTAKI VIZURI KWA MODES! Thread kibaooo WANGA msiijazie nzi humu!!!!!!!! Sijawaita kwa kadi ya mwaliko humu! Mnituweeeeeeee! Dume zimaaa unachambwa hazarani si bure utakuwa SI RIZIKI!!!!!!!!!!!!!! Na KUCHAMBANANA MIMI UWE NA JF SENIOR EXPERT MEMBER atiiiiiiii au walau umelipia ukapewa Gold Member! New member kuwapa KICK humu iliishia mwaka jana! Mwaka huu watafuta kick! NAWATIA KWENYE DUSTBIN MAZIMAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!! Hio inaitwa .............. NAWAPOTEZEAAAAAA!!!!!!!!!
BACK TO TOPIC
Mwaka jana kati kati bibi dada mmoja, alijibinafsishia na kumtaifisha mume wa mwenzie mchana kweupeeeee!!!! Si kuwa Mume wa mtu waloana, la hasha! Walizaa tu watoto 3 pamoja. Bi dada yuko vizui kumpata yule bwana, akamtolea mahari fasta fasta akafunga nae ndoa lutheran! Makubwaaaaaaaaaa! Wote wachaga wenzangu!
Harusi ilikuwa crash program, hela uliyonayo ndo unatoa maana ilikuwa short notice! Mhhhhhhhhh! Ukistaajabu ya Musa utashangaa ya firauni!!!!!!! Ilileta mkanganyiko, watu wazima kwenda kumsuta na kumchambaa asifanye hilo jaribio la kupindua serikali kuu, mwenzie na watoto wa 3 ataenda wapi goal keeper yule. (Dont get the impression im mocking her because im not) ila ndo hivo tenaaa mtu mzima hatishiwi nyau! Mumeo nimemchukua, wacha nijishebedue mke mwenzangu unijue! We maliza kuku kwa mganga Mumeo mie ndo ninae ndani! IT WAS SAD! Ndumila kuwili hatukukosekana huku tunasema alivofanya shost vibaya kweliii! Huku tunpokea malace wig ya kusimamia na satin za Dubai! Njaa mbaya sanaaa! Na ushoga mjini ni full time job. Japo dhambi ilitubidi kutoa pongezi!
Tukirudi nyuma Bidada alikuwa anafanya kazi na hilo Gumegume, na alikuwa anamjua fika my wife wake maana alikuwa anakuja ofisini kwao, sasa sijui ni yeye ama karogwa ila yaliyomo yalikuwamo.! Huwezi jua maybethe guy had a SITUATION! ambayo si wa nje kuhukumu rahisi, ila nionavyo mie kumuacha mkeo na watoto wa 3 ukaoe mdada mwengine hata hujazaa nae, na usiku unakoroma peacefully si jambo rahisi!!!!!!!!!! We may never find out the truth but it was UNFAIR kwa yule bibie alieachwa! Na hakuachwa nusu, mazimaaa, na watoto kawapeleka kijijini. Bi dada yupo anapika mama lishe mjini hapa! CHOZI LA MNYONGE LALIPWA KWA MUNGU BABA! Japo la samaki lamezwa na bahari. Mungu AMKIRIMIE afungue Hoteli 5 star na apate ampendae, alisamehe na kulsahau gumegume hili. Dua zangu zifike moja kwa moja.
Huku harusi ikafungwa ya kukata na shoka, msizanie coz nimesema short notice mkajua ilichinaaa,weeee! Dhubutu yenu! It turne out ndumila kuwili tulikuwa wengi mno! Fahari ya ndoa mwisho wake honey moon. Sijui laana ama bibi alienda kuroga, yue bwana si akaachishwa kazi!!!!!!!!!? Ashinda kwenye TV! Mhhhhhhhh! N a baada ya ndoa alihamia kwa bi dada eeeeh! Ndo kushinda kwenye DSTV ya bi dada 24/7 hata kama kazi imekuwa bahati mbaya kahangaike basi mwana baba hata ukikosa umejituma sio kulikomoa sofa na Telemundo my heart beats for lola na Delmonte Dynasty. Ndo hivo hatoki wala hajitumi. Bi dada kamvumilia Nusu MWAKA!!!!!!!! Khaaaaaaa! Umlishe, umvishe mtu mzima, pocket money umjue wewe, kodi uzijue wewe, wanae kijijini uwajue wewe Inahuuuuuuuuu????????? Aku babu sitaki mizigo mie! (Ni mie lakini si yeye jamani!)
Ndo hivo hali iko hivo, ukichukulia kiwepesi waweza hisi katiwa zongo na mkewe wazamani aishi tu humo ndani ka mjusi asitikisike! Mbona MAJARIBU! Hataki wazae, haelewekiiiiiiiiii! Shosti kachokaaa! Kakubali AMEBUGI MEEEN! Tukamwambia ng'ang'ania hapo hapo UTUKOME SIE tunaoshika bango hutodumu kwenye hio ndo! Ukibwaga manyanga tunafanya party! We komaa nayo hivo hivoo. Kama huna inspiration ya kuendelea fom the inside, hata hii hatred rom the outside ikuinspre ubakie ndoani manake sahvi YOU ARE DISPEAKABLE kwa ulikwisha tenda ukimtema huyo bwana takuwa DISGUSTING!!!!!!! Usjaribu!
Ndoa umeitaka kwa chati haya hiyo hapo! Ayayaaaa umeolewa utarudi nyumbani kutembea sasa ndo utulize kalio kwa mmeo katika shida na raha! Kakondaje kwa stress? Hana hamu saa 11 ifike arudi kwa Habby! Hahahaaaaaa! Halooooo! Ndoa hiz!!!!!!! Mara aambiwe yeye ndo anamletea huyo bwana Gundu! Tangu kamuoa mmbo hayaendi!!!!!!!! Makubwaaaaaaa!!!!!!!!! Mume fahari na wa maana muone kwa MWENZIO!!!!!!!!!! Akipita kang'aaa , katokelezeaaaaa jasho la mkewe lile, Ukimkuta bar akakuhonga mchemsho utamuona wa maana kumbe husle za mkewe familia isonge, yeye kama yeye bila mkewe MAJANGAAAA! Wake za watu wakikusimulia walivoanza na waume zao na SHUKA 2! Utachokaaa! ukijitia mpana kama pazia la cinema ndo kama hivi yaliyomkuta bi dada.!!!!!!!
Ndo maana nasisitiza KUDOKOA ndo ujanja KUKWANGUA UKOKO NI KUMBEEP MPISH!!!!!!
HERI YA MWAKA MPYAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!