you have made a pointSioni cha kujadili hapa zaidi kuna watu humu jamvi muda ndani ya ndoa ni mia minne na zaidi bila mtoto leo mnaongelea jinsia ?
Ni kama mnakufuru hakika,mtoto ni zawadi toka kwa Mungu .
mi naona mtoto ni mtoto tu kwani kuna wengine wanahangaika kila kukicha kutafuta hata wa kike wasiotakiwa na hawawapati....ni kumshukuru M