Mume na mke kulala chumba kimoja na kitanda kimoja,

hata kama una mke mmoja kwani akilala chumba chake na wewe chako kuna tatizo gani yaani nini umuhimu wa kulala pamoja zaidi ya huduma ya tendo la ndoa ambalo si kila siku!au basi vitanda viwe viwili chumbani?ni mawazo 2 mkuu,

umeniwahi tu
nilitaka anzisha thread kuhusu jambo hili....
kuna vitu muhimu mno hapa vya kujadili
 
:nerd:eheeee bana,Mx
hata hiyo zamani unayosema inategemea uzoefu wako ni wa sehemu gani.

Kuna sehemu zingine mme na mke walikuwa wanalala chumba kimoja.
Kwa mwanamme mwenye wake wawili alikuwa anajenga nyumba 2 kila mke na nyumba yake. Usiku anakuwa anakwenda lala kwa mke mwenye zamu siku hiyo.
 
umeniwahi tu
nilitaka anzisha thread kuhusu jambo hili....
kuna vitu muhimu mno hapa vya kujadili

ahsante sana mkuu kama na wewe umeona hili jambo lina umuhimu wa kujadiliwa,naomba upresent mawazo yako maana naona presentation yangu haijaeleweka vizuri,halafu mods mnisaidie kuiedit yangu na kuongeza ya the boss pale mwanzoni,
 
Back
Top Bottom