Mume na mke kulala chumba kimoja na kitanda kimoja,

Mamzalendo

JF-Expert Member
Dec 29, 2010
1,670
558
Habarini wapendwa natumai wazima ndo tunaanza wikiend,sasa leo nlikuwa nataka tujadili kwa pamoja faida na hasira za mume na mke kulala kitanda kimoja na chumba kimoja,kwa uchunguzi wangu mdogo zamani haikuwa hivi mume alienda kwenye boma la mke alipomhitaji je huu utamaduni umetoka wapi?na pia wakati yakitokea magonjwa ya kuambukiza je si risk kwa wote?halafu pia mwenzio anapougua ukawa hupati huduma ikalazimu alale mwenyewe si itaonekana kama kumtenga?je huu utaratibu hauwezi badilika,ni hayo 2,mi naona risk kuliko umuhmu wake,
 
Ah Mkuu hata mimi nashangaa tu mambo yanavyozidi kutubadilikia wanaume.

ZAMANI SASA
mwanaume kwake/ wake zake kwaomke&mume pamoja(no many wives)
mwanaume mwiko kwenda labor wanataka waje watukamate tupelekwe kwa nguvu
clinic mke peke yakenow lazima tuende wote
mwanaume anafanya family decisions pekeesasa hivi hand in hand mwanzo mwisho
Mwanamke anakaa home tuwote wanapigana vikumbo makazini
elimu ya mwanamke haikua serioussasa hivi u know

As for me n my family we maintain open minds about these changes
For we heard, the harder you resist change the more painfull it becomes for you should it be impossible to stop it all together.
If you cant fight them join them.
 
Ah Mkuu hata mimi nashangaa tu mambo yanavyozidi kutubadilikia wanaume.

ZAMANI SASA
mwanaume kwake/ wake zake kwaomke&mume pamoja(no many wives)
mwanaume mwiko kwenda labor wanataka waje watukamate tupelekwe kwa nguvu
clinic mke peke yakenow lazima tuende wote
mwanaume anafanya family decisions pekeesasa hivi hand in hand mwanzo mwisho
Mwanamke anakaa home tuwote wanapigana vikumbo makazini
elimu ya mwanamke haikua serioussasa hivi u know

As for me n my family we maintain open minds about these changes
For we heard, the harder you resist change the more painfull it becomes for you should it be impossible to stop it all together.
If you cant fight them join them.

hapana mkuu unajua kama kitu unaamini upo sawa unakisimamia hadi kieleweke la sivyo utakubali mengi,kuna mambo inabidi tutizame kwa makini,au mke amejifungua ya nini kubanana kitanda kimoja na rum moja mama alale na mwanae kwa uhuru hadi apone bila kusumbuliwa na mtoto akue kwa raha,
 
Habarini wapendwa natumai wazima ndo tunaanza wikiend,sasa leo nlikuwa nataka tujadili kwa pamoja faida na hasira za mume na mke kulala kitanda kimoja na chumba kimoja,kwa uchunguzi wangu mdogo zamani haikuwa hivi mume alienda kwenye boma la mke alipomhitaji je huu utamaduni umetoka wapi?na pia wakati yakitokea magonjwa ya kuambukiza je si risk kwa wote?halafu pia mwenzio anapougua ukawa hupati huduma ikalazimu alale mwenyewe si itaonekana kama kumtenga?je huu utaratibu hauwezi badilika,ni hayo 2,mi naona risk kuliko umuhmu wake,

Unatafuta kurogwa we kijana!
 
hata hiyo zamani unayosema inategemea uzoefu wako ni wa sehemu gani.

Kuna sehemu zingine mme na mke walikuwa wanalala chumba kimoja.
Kwa mwanamme mwenye wake wawili alikuwa anajenga nyumba 2 kila mke na nyumba yake. Usiku anakuwa anakwenda lala kwa mke mwenye zamu siku hiyo.
 
hapana mkuu unajua kama kitu unaamini upo sawa unakisimamia hadi kieleweke la sivyo utakubali mengi,kuna mambo inabidi tutizame kwa makini,au mke amejifungua ya nini kubanana kitanda kimoja na rum moja mama alale na mwanae kwa uhuru hadi apone bila kusumbuliwa na mtoto akue kwa raha,

If I may Mkuu, umenielewa vibaya. Nimesema hivi kama kuna change unaianalyse kama huwezi kupingana nayo then why fight?

And in your example mama akijifungua anahamia nursery master anamuacha baba aendelee kula gud tym in the big bed
 
Kama umegundua hivyo basi lifanye kwenye ndoa yako alafu uone kitachotokea.
Wahenga walisema:UMOJA NI NGUVU UTENGANO JE?
 
hata hiyo zamani unayosema inategemea uzoefu wako ni wa sehemu gani.

Kuna sehemu zingine mme na mke walikuwa wanalala chumba kimoja.
Kwa mwanamme mwenye wake wawili alikuwa anajenga nyumba 2 kila mke na nyumba yake. Usiku anakuwa anakwenda lala kwa mke mwenye zamu siku hiyo.

hata kama una mke mmoja kwani akilala chumba chake na wewe chako kuna tatizo gani yaani nini umuhimu wa kulala pamoja zaidi ya huduma ya tendo la ndoa ambalo si kila siku!au basi vitanda viwe viwili chumbani?ni mawazo 2 mkuu,
 
If I may Mkuu, umenielewa vibaya. Nimesema hivi kama kuna change unaianalyse kama huwezi kupingana nayo then why fight?

And in your example mama akijifungua anahamia nursery master anamuacha baba aendelee kula gud tym in the big bed

haya mkuu nimekupata nashukuru umenijulisha kuna ki2 kinaitwa nursery master,kwa hyo hzi modern house zinayo eh?
 
Sasa kama mnatengana ile dhana mwili mmoja itaaply vipi hapa?
Bado sijaona kwa nini wanandoa watengane vyumba...
 
Kama umegundua hivyo basi lifanye kwenye ndoa yako alafu uone kitachotokea.
Wahenga walisema:UMOJA NI NGUVU UTENGANO JE?

sawa lakini kama m2 amepata vijidudu vya mfano ebola na dalili bado bado sa si nitapata je umoja hapo utakuwa nguvu tena dada?nielimishe faida kabla sijajaribu nikapewa talaka,
 
ujue hata tendo la ndoa linasababisha kupumuliana sana.

Naona tumekaribia kuanza zi-scan nyeti na kuziunga pamoja zimalizane zenyewe kwa zenyewe huko huko.

Hata kuishi nyumba moja ni kunyimana privacy, labda tuoane na kila mtu aendelee kuishi kwake tu.

Kupanga ni kuchagua.

hata kama una mke mmoja kwani akilala chumba chake na wewe chako kuna tatizo gani yaani nini umuhimu wa kulala pamoja zaidi ya huduma ya tendo la ndoa ambalo si kila siku!au basi vitanda viwe viwili chumbani?ni mawazo 2 mkuu,
 
hata kama una mke mmoja kwani akilala chumba chake na wewe chako kuna tatizo gani yaani nini umuhimu wa kulala pamoja zaidi ya huduma ya tendo la ndoa ambalo si kila siku!au basi vitanda viwe viwili chumbani?ni mawazo 2 mkuu,

Sina nia ya kukuoffend but are you in marriage?
 
Sasa kama mnatengana ile dhana mwili mmoja itaaply vipi hapa?
Bado sijaona kwa nini wanandoa watengane vyumba...

mi bado sijakupata kwani wakilala pamoja si bado ni miili tofauti,kwanini walale pamoja kila siku katika hzi risk nyingi,mi nataka kuelewa 2 kwa nini wasilale tofauti?
 
Wake ni wengi? Ni nani atapewa stahili ya kulala kwake? Bora uwe na boma halafu kazi ni kunyatia wa zamu!!! Du ulafi huu wa wazeee wetu!! Nouma!
 
Back
Top Bottom