Mume mwenye sifa hizi anahitajika

Ulionaga wapi muombaji sifa zake nikidogo sanaaaa alafu anayeombwa kawekewa mivigezo lukuki !!!

Aiseeeee alafu umetumia lugha isyoyakubembeleza as if unaegesha tuuu akija sawa asipokuja sawa!!.


Kilichonipasua kichwa nihapa,,umetoa mashariti mengiiii alafu kwako visifa vidogo namwisho unasema " awe tayar Ku adopt mtoto nitakayemzaa muda sio mrefu "

Kwann hujaolewa nahuyo alokupa mimba ??? Ilikuaje mpaka jamaaa akupe mimba naache kuolewa naww ???.

Alafu ktk yote hayoo kuna kitu umekikosea kuhisi kuajiriwa kwako ndo kutakufanya mwanamme akukubali .....Hatuoi kazi sisi ...tunaoa tunaposhawishika kufanya ivo.
 
Atakae mwoa huyu ajue ameoa mke wa MTU angojee kuumia roho kwenye mke akiwa anawasiliana na mkewe juu ya malezi ya mtoto wao
 
Imenibidi nikasome upya post zako zote ,,,

Mara nyingi ulikua unatumia *Rafiki yangu* ila kiukweli ulikua niwewe mwenyewe.

Jamaaa alokupa ujauzito mmeshindwana sababu alikua hana pesa yakutoa mahali nambaya said hakua anaonyesha interest naww.

Kilichonishtua nihiki,, Bila shaka alokupa mimba anaakli timamu kabisaaa na nimsomi ,,swali langu nihil,,,

Ilikuaje jamaaa licha yakwamba anajua unakazi ,anajua umempita kipato Lkn bado Akaachana nawewe ???? How come wakat mmedumu kwa miaka zaidi ya Tisa ???

Kiukweli kuna tatizo lipo upande wako tena tatizo kubwa ,,unapaswa kulichunguza sana ,,vinginevyo utapata wakukupiga tuuu lkn sio mme.

Embu kwanza anza kujitathimin kisha ndo uone km nisahihi kufanya ivi...... Jifanyie kazi zako...tengeneza pesaa zaidi ,,, tunza mtoto ,,mwanamme atakuja sio mpaka utoe matangazo....humu utapata wanaotafuta urahisi Wa maisha.
 
Mcha mungu babayake huyo mtoto akuoe sasa
 
Haaaa haaaa haaaa! Wanaume tumekua viumbe adimu sikuiz,anyway! Umri wangu hauruhusu bidada!
 
Sawa,
Lakini tutajie umri wako pia, isijekuwa tukajitupa kwa Bibi kizee na au mtoto chini ya miaka 18 tukambiwa tunabaka
 
ahahahaaaaa Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu. utakuwa unamtafuta yahaya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…