Mume kikojozi anavumilika??

Duh pole huo kweli mtihani...akafanyiwe maombi
 
Sio tatizo dogo hilo ila for the time being kabla ya kupata tiba ya kudumu awe anategeshea alarm usiku kila baada ya saa 1 anaamka kukojoa labda itasaidia.
 
MUHESHIMIWA RAFIKI YANGU NKADABWI NASHAURI AENDE HOSPITALI AFANYE UCHUNGUZI WA HAYO MAGONJWA ALIYOAINISHA MYA KAKA HorsePower THEN IKIWA HANA DALILI AU HUO UGONJWA AENDE AKAOMBEWE KWA JINSI NA MNAMNA ANAVYOAMINI YEYE
 
muheshimiwa rafiki yangu nkadabwi nashauri aende hospitali afanye uchunguzi wa hayo magonjwa aliyoainisha mya kaka horsepower then ikiwa hana dalili au huo ugonjwa aende akaombewe kwa jinsi na mnamna anavyoamini yeye



sawa mheshimiwa sana rafiki nivea
maswahibu haya yanahitaji mawazo ya pamoja kama ivi na ushauri wa kindugu namna hii
thank uuu
 
sio tatizo dogo hilo ila for the time being kabla ya kupata tiba ya kudumu awe anategeshea alarm usiku kila baada ya saa 1 anaamka kukojoa labda itasaidia.



hili nalo lina msingi wake mkuu
nitamfikshia leo leo
 

Nakubaliana na wewe...

Mhhhm itabidi sasa avalishwe condom time analala :biggrin1:

Acha fujo fazaa! Lol! Mwenzio yamemkuta...
 



nimenufaika na mchango wako huu pia
nitalifikisha kwa muhusika bila kuongeza wala kupunguza
thanks jamii forum kwa kua na watu kama ww
 
Nimefarijika na ushauri wa HORSEPOWERS- uliyejiunga 22-08-2008
ni ushauri wa kiu tu uzima na umejaa faraja pia kwa yote uliyo eleza
Mungu akubariki.




 
Siamini kama hospitali wameshindwa kumsaidia.
Anyways, afanye kama alivyoshauriwa hapo. Kuweka alarm ya kuenda toilet hata kama kila baada ya masaa mawili, kuchelewa kulala na kuepuka pombe na vimiminika usiku.

Kuna zoezi la muscles linaitwa kegel's exercise. Anakojoa na kuubana mkojo kabisa kwa sekunde tano na kuuchia tena kidogo. Anarudia hivyo hadi amalize. Mwanzoni ni ngumu lakini akizoea itakuwa kawaida tu kwake. Hii itaimarisha misuli ya kibofu (sphincter muscles) na kumsaidia kwa mengineyo.

Ni mtihani lakini mkiwa wasafi wala haitawapa shida.
 

Aende kwa maombi; ni tatizo linalohitaji divine intervention hilo.
 
kama wamehangaika hivyo.. nashauri wamwimbie kindumbwe ndubwe ataacha tu...
 
Mhh! jamani kweli kukojoa ndio iwe sababu ya ndoa kuwa mashakani? kama ni mimi wala nisingemuhadithia mtu mambo ya ndani ya mume wangu, zaidi tungeshughulika kutatua sisi wawili na ingeshindikana ningekaa nae karibu zaidi nimuonyeshe mapenzi zaidi ili ajawe na amani maisha ya upendo yaendelee. Hivi yako wapi mapenzi siku hizi???
 
kama wamehangaika hivyo.. Nashauri wamwimbie kindumbwe ndubwe ataacha tu...


dah kindumbwe ndumbwe tena??
Mume wa mtu huyu jamani,after all ni mwanaume mwenzetu jamani
leo kwake kesho kwetu tukumbuke..
 



ubarikiwe sana
shukrani sana
 


ni kweli kumuacha mwenza kwa tatzo hili na mengne si ishara ya upendo kwake,muhimu ni kusaidiana na kuvimiliana,na ndio maana tunaomba msaada wa ushauri
maisha yana majaribu sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…