Mume kikojozi anavumilika??

Mume kikojozi anavumilika??

päiva;4995605 said:



asante sana mkuu
nimeipitia piahiyo link
nadhani pia ipo haja ya kujaribu na kuyapa maombi nafasi kubwa pia
kwa mungu hakuna linaloshindikana,imani pia muhimu mkuu
thanks
 
hapo ndipo huwa nakumbuka vile viapo vya ndoa,ha ha ha kwenye matatizo wengi hukimbia na kusahau kuwa waliapa katika kila hali kuwa pamoja mpaka kifo.


viapo vya ndoa vyahitajika sana kupewa mazingatio vile mkuu
vinapokuja vipind vya shida ndipo huonekana umuhimu wake mkuu joseph
 
Avalishwe condom? Duuu! Hii ni kiboko, LOL!
Hahaha si kali wala nini si unajua condom zote must go through a series of tests before they can be sold, kwa hio kumbuka test zake zinakuwa include electronic testing, the water leak test, the air burst test and the strength test...we leo chukua condom itie maji kiasi cha chupa lita moja/mbili utazame.

Lakini tumia zile Rough Rider condoms sio zile fake ok :biggrin1:
 
Huyo anahitaji maombi tu, hakuna kinachomshinda Yesu Kristo tatizo hilo lipo sana sasahivi kwa sababu ya mapepo wanaojitahidi kuvunja ndoa za watu ila kwa sala ni sekunde tuu linakwisha.
 
Mmmmmmmmmmmmh!!!!!! Huyo ni wa kumuombea tuuu kwa kweli! Ila mke mvumulivu sanaaaa! Mi nashindwa hata kushauri!
 
Mmmmmmmmmmmmh!!!!!! Huyo ni wa kumuombea tuuu kwa kweli! Ila mke mvumulivu sanaaaa! Mi nashindwa hata kushauri!


vipi LARA1,,mwenzako yamemmkuta huko
assume ingekua ww na yule mchaga wetu
UNGEMTUPA??
:smile: :smile:
 
vipi LARA1,,mwenzako yamemmkuta huko
assume ingekua ww na yule mchaga wetu
UNGEMTUPA??
:smile: :smile:

Ndo maaana nimeguna hapo, hata sijui kama ningevumilia!!!! Mungu ipushia mbali!
 
huyo anahitaji maombi tu, hakuna kinachomshinda yesu kristo tatizo hilo lipo sana sasahivi kwa sababu ya mapepo wanaojitahidi kuvunja ndoa za watu ila kwa sala ni sekunde tuu linakwisha.


sure,maombi yanahitajika sana
ila mda mwingne imani zetu nazo tulizonazo vifuani ni ndogo sana
yan tumekua ni watu wa kujaribu jaribu bila kuweka yakini vifuani
umesomeka kiongozi
 
Hahaha si kali wala nini si unajua condom zote must go through a series of tests before they can be sold, kwa hio kumbuka test zake zinakuwa include electronic testing, the water leak test, the air burst test and the strength test...we leo chukua condom itie maji kiasi cha chupa lita moja/mbili utazame.

Lakini tumia zile Rough Rider condoms sio zile fake ok :biggrin1:



AAAAH ATUMIE ROUGH RIDER TENA??LOL..
:madgrin: :madgrin:
 
Amuone Dr.Ndodi. Hayo ni matatizo aidha katika mfumo wa taarifa (ambao unaweza kuwa repaired na unywaji wa ndevu za mahindi kwa mpangilio fulani) au tatizo la kuwa na kibofu kidogo.

Ukiongea na mtaalam anaweza kukupatia ufumbuzi. Kwenda kwa waganga wa kienyeji sio tiba. Ieleweke kuwa kukojoa kitandani kunaweza kumtokea mtu yeyote siku yeyote ikiwa atapata stress au kuwa overjoyed kiasi akadisturb mfumo wa taarifa kwenye uti wa mgongo.

Pole sana.

Back to you, NKADABWI, swali la kipuuzi kabisa umeuliza. Kukojoa hakojoi mume tu, hata wanawake wanakojoa, hiyo moja. Mbili suala la kuuliza kama fulani anavumilika kwa matatizo aliyonayo ni dalili ya kukosa ukomavu. Tumejaribu kukupatia solutions lkn hamna anayejibu swali lako kwa kuwa ni selfish attitude.

Jamii yetu inapaswa kulelewa kwa kukabili changamoto na sio kuishi kama malaya wa maisha. Huyo mke kama aliuliza hivyo anapaswa kufahamu kuwa hamna ajuaye kesho yake yafananaje.

TAFADHALI SOMA HAPA: Ikiwa leo unamuacha mwenzio kwa kuwa anakojoa kitandani, ukaenda kufanya ndoa na mwingine na furaha ikajaa nyumbani. Mwezi unaofuatia, unapata ajali unakatwa miguu mguu m1 na mkono m1, unakuwa tegemezi, Je utakuja JF kuuliza kama wanaJF kama mwenzi wako anapaswa kukuvumilia?
 
Last edited by a moderator:
Mwe! Mwe! I can imagine! Mpe pole kwa kweli!
 
amuone dr.ndodi. Hayo ni matatizo aidha katika mfumo wa taarifa (ambao unaweza kuwa repaired na unywaji wa ndevu za mahindi kwa mpangilio fulani) au tatizo la kuwa na kibofu kidogo.

Ukiongea na mtaalam anaweza kukupatia ufumbuzi. Kwenda kwa waganga wa kienyeji sio tiba. Ieleweke kuwa kukojoa kitandani kunaweza kumtokea mtu yeyote siku yeyote ikiwa atapata stress au kuwa overjoyed kiasi akadisturb mfumo wa taarifa kwenye uti wa mgongo.

Pole sana



mkuu sijakupata vizuri hapo uliposema ndevu za mahindi
pls clarify mkuu
natanguliza shukrani zangu za dhati
 
Back
Top Bottom