prianka
JF-Expert Member
- Aug 29, 2012
- 684
- 169
pole sana ajaribu kwenda kwa wataalam zaidi apate ushauri pia na apunguze kunywa vimiminika kwa wingi wakati wa jion na mkewe ajaribu kumuamsha nyakati za ucku angalau hata mara3 na pia kunadawa moja anaweza ku2mia zile nywele za mahindi anazichukua anamchemshia anampa na nyingine amsagie mavi ya kuku awe anamuwekea kwenye uji na pia ajaribu kwenda kwa wamasai pia