Mume kikojozi anavumilika??

Mume kikojozi anavumilika??

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
18,554
Reaction score
14,823
Salaaam mabibi na mabwana
salam marafiki zangu

Tupo na shughuli zetu za kujenga taifa letu kama kawaida

Mdada mmoja wa rika lapata miaka 33 anatoa simulizi kwamba ana jirani yake amepatwa na mkasa unaompa shida kubwa kwenye ndoa yake,

Mume wake ana tabia au tatizo sugu la kujikojolea kitandani,na wamefanya utaratibu na kuchukua hatua mbali mbali ikiwemo kwenda hospitali na kwa waganga wa tiba za asili kwa mda sasa lakini tatzo bado linaendelea na ameendelea kuivumilia hali ile kwa mda mrefu sana ila kwa sasa anaelekea kushindwa

Ndoa anaipenda, mume anampenda ila maji yashamfika shingoni


Kuna mkono wa mtu??
 
zinaweza msaidia??
Na kukomesha kabisa tatizo hili haiwezekani kabisa??
zina-absorb liquid so at least kitanda hakitalowa kila siku. kuhusu matibabu wajaribu urologists au madaktari wengine wa wakina baba, eventually watapata prognosis sahihi. wape pole
 
zina-absorb liquid so at least kitanda hakitalowa kila siku. kuhusu matibabu wajaribu urologists au madaktari wengine wa wakina baba, eventually watapata prognosis sahihi. wape pole



sawa mkuu
mitihani migumu sana hii,tena mbaya zaid kwenye kutokea kwenye mahusiano ya ndoa
kwa mujibu wake anasema tatzo hili miaka kadhaa iliyopita mume wake hakua nalo
na ndio maana wanapata was was je kuna uwezekano pia kukawa na mambo ya ushirikina ndani yake?
 
zina-absorb liquid so at least kitanda hakitalowa kila siku. kuhusu matibabu wajaribu urologists au madaktari wengine wa wakina baba, eventually watapata prognosis sahihi. wape pole

sawa mkuu
 
Sidhani kama suala la kukojoa kitandani ni sababu tosha ya kupeana talaka. Anaweza kumfundisha mumewe kuwa msafi, na kuepuka kunywa vitu vya maji maji usiku kupunguza hatari ya kukojoa usiku. Huyo mume anaweza kutumia muda mwingi kufanya kazi zake usiku ili akichelewa kulala apunguze hatari ya kukojoa kitandani. Anaweza kuvaa hata pampas za wakubwa na akisha kojoa usiku avue na kuendelea kulala bila pampas.

Kumbuka kuwa huyo kaka hakuomba kuugua huo ugonjwa, na kuvunja ndoa kwa sababu ya hilo tatizo la ugonjwa ambalo linavumilika na linaweza kutibika ni kutomtendea haki. Mtie moyo na nenda au mshauri aonane na wataalam wa afya mara kwa mara kwa msaada zaidi.
 
sidhani kama suala la kukojoa kitandani ni sababu tosha ya kupeana talaka. Anaweza kumfundisha mumewe kuwa msafi, na kuepuka kunywa vitu vya maji maji usiku kupunguza hatari ya kukojoa usiku. Huyo mume anaweza kutumia muda mwingi kufanya kazi zake usiku ili akichelewa kulala apunguze hatari ya kukojoa kitandani. Anaweza kuvaa hata pampas za wakubwa na akisha kojoa usiku avue na kuendelea kulala bila pampas.

Kumbuka kuwa huyo kaka hakuomba kuugua huo ugonjwa, na kuvunja ndoa kwa sababu ya hilo tatizo la ugonjwa ambalo linavumilika na linaweza kutibika ni kutomtendea haki. Mtie moyo na nenda au mshauri aonane na wataalam wa afya mara kwa mara kwa msaada zaidi.



mkuu horsepower umesomeka vzr kabisa
ila pia kulikua na utata na mgongano wa mawazo pia kwamba vipi linaweza tokea tatzo hili ukubwani tuh tu from nowhere?
Then kwa waganga hosp na miti shamba wamehangaika sana,je kuna uwezekano wa kuwepo kwa iman za nguvu za giza?
Kama yale ya hosp ya temeke ya kugandana??
 
Mpaka kawa mtu mzima hivyo ina maana ukojozi umeshindikana kutatulika hapo ni kutafuta tu mbadala... Ni mtihani kuwa na mume wa hivyo pamoja na kusema ni muhimu kuvumiliana madhaifu. Nadhani ni kukubali tu kuwa tatizo lipo na kulihimili, hapa naona ni kumsoma anakojoa mara ngapi kwa usiku mmoja? Anakojoa mida gani? (kama ilivyo watoto); ukiangalia kwa ukaribu unaweza shangaa kukuta kuna pattern fulani ya kukojoa kwake... Kujua kwa hio pattern inaweza siaidia kwa kuweka visaidizi kama vile alarm ya kuamsha na pia mipira ya kitanda pia.

Pole zake ukisikia mitihani ya ndoa ndio hii... Dawa pia ni kutoshirikisha watu ovyo kwa kutoa taarifa kwa watu mbali mbali inayoweza mshushia heshima; ikafanya watu wakajua but wasitoe msaada wowote.
 
Sidhani kama suala la kukojoa kitandani ni sababu tosha ya kupeana talaka. Anaweza kumfundisha mumewe kuwa msafi, na kuepuka kunywa vitu vya maji maji usiku kupunguza hatari ya kukojoa usiku. Huyo mume anaweza kutumia muda mwingi kufanya kazi zake usiku ili akichelewa kulala apunguze hatari ya kukojoa kitandani. Anaweza kuvaa hata pampas za wakubwa na akisha kojoa usiku avue na kuendelea kulala bila pampas.

Kumbuka kuwa huyo kaka hakuomba kuugua huo ugonjwa, na kuvunja ndoa kwa sababu ya hilo tatizo la ugonjwa ambalo linavumilika na linaweza kutibika ni kutomtendea haki. Mtie moyo na nenda au mshauri aonane na wataalam wa afya mara kwa mara kwa msaada zaidi.

Hili la pampas mtihani aisee... Sijui lakini ninavyoelewa inaweza mwaribu psychologically kabisa mwanaume to the extent akashindwa hata nguvu za ushiriki wa ndoa upande wa intimacy ya kitandani... Naona kama vile bora kuamka walau mara mbili kwa usiku mmoja kwa ajili ya kupunguza mkojo.
 
Hapo ndipo huwa nakumbuka vile viapo vya ndoa,ha ha ha kwenye matatizo wengi hukimbia na kusahau kuwa waliapa katika kila hali kuwa pamoja mpaka kifo.
 
Mvalishe pampers nyakati za usiku
 
mkuu horsepower umesomeka vzr kabisa
ila pia kulikua na utata na mgongano wa mawazo pia kwamba vipi linaweza tokea tatzo hili ukubwani tuh tu from nowhere?
Then kwa waganga hosp na miti shamba wamehangaika sana,je kuna uwezekano wa kuwepo kwa iman za nguvu za giza?
Kama yale ya hosp ya temeke ya kugandana??

Sina uhakika sana ila nafahamu kuna baadhi ya magonjwa ambayo yanaweza kuchangia hili tatizo likiwepo
1. Diabetes
2. Urinary tract infection
3. Urinary tract stones
4. Prostate enlargement
5. Bladder cancer
6. Obstructive sleep apnea
7. Neurological disorders
Na saa nyingine, acute anxiety or other emotional disorders (matatizo ya kisaikolojia). Lakini kama kuna mashaka ya imani za kishirikina ni vyema kuwaona viongozi wa dini kwa maombezi na ushauri zaidi.
 
Hili la pampas mtihani aisee... Sijui lakini ninavyoelewa inaweza mwaribu psychologically kabisa mwanaume to the extent akashindwa hata nguvu za ushiriki wa ndoa upande wa intimacy ya kitandani... Naona kama vile bora kuamka walau mara mbili kwa usiku mmoja kwa ajili ya kupunguza mkojo.

Asante AshaDii kwa ufafanuzi mzuri. Tunajaribu kuexplore njia mbali mbali kuiokoa hiyo ndoa. Hilo angalizo lako ni zuri, sikulifikiria kabla. Cha msingi huyo dada asikate tamaa. Kama laiweza kumvumilia kwa miaka kadhaa, si vibaya akaendelea kumvumilia huku wakitafuta njia mbali mbali za kusolve tatizo.
 
Last edited by a moderator:
Mpe kolani akojolee, tiba tosha.

Pili mwambie asiwe anakunywa vinywaji ifikapo jioni.

Are you out of your mind?? Watu hapa wapo serious wanatoa ushauri wa kumsaidia mwenzetu wewe unaleta mambo ya ajabu ajabu..! Jiheshimu Kaka Jambazi..!!
 
Sasa asipofanya mazoezi ya kukuojoa, mke atafaidikaje? Ukimdhibiti kukojoa ataacha kukojoa vyote na utakoma na njaa.
 
Hili la pampas mtihani aisee... Sijui lakini ninavyoelewa inaweza mwaribu psychologically kabisa mwanaume to the extent akashindwa hata nguvu za ushiriki wa ndoa upande wa intimacy ya kitandani... Naona kama vile bora kuamka walau mara mbili kwa usiku mmoja kwa ajili ya kupunguza mkojo.
Mhhhm itabidi sasa avalishwe condom time analala :biggrin1:
 
Back
Top Bottom