Mume Ashtushwa na Mkewe...

Mume Ashtushwa na Mkewe...

Boflo ................................ halafu nakushangaa hunitafuti.
 
Last edited by a moderator:
mtu kama Asprin ataokota kiwanda cha vyuma chakavu lol!
 
Last edited by a moderator:
Hahahqhahahahaha

Mama 1 alikuwa akimwambia mwanawe kuwa ww unanitukana mimi, kama ulinyonya ziwa hili lazima utaokota makopo!!

Mume wake akastuka akasema mke wangu huyo amenyonya ziwa tu ataokota makopo, je mimi niliyekunyonya maziwa,

kitumbua na tigo!! Si nitaokota Mapipa??
 
Hahahahaha, akianza kuokota mapipa lazima awe baunsa
 
ahahha!...hapo mama kachemsha siku hizi kuokota makopo ni ajira,hivyo alichofanya ni kutabiri kazi itakayomuingizia mwanae kipato.
 
Back
Top Bottom