Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Umeona ee! mi nadhani ni civics hii!!Hii sijui ni kemistri, bayoloji au fiziks...
Umeona ee! mi nadhani ni civics hii!!Hii sijui ni kemistri, bayoloji au fiziks...
Hii sasa ni unyanyasaji wa kijinsia!Roya ucnifurahihe mie, kwani ukihama mkoa na mimba nayo inahama tumbo?.....msome vizuri Pasco naona anaweza kukuelewesha vizuri, natamani yakutokee kwa kweli ili mjue kutuheshimu vizuri, wakati huo mie nilikuwa nafurahi kweli, c kila akitoka kazini yupo home anajickia vibaya/kajichokea pombe haipandi vizuri, nyama choma zimikwama, bac akitoka job home tu 2nafarijiana.
:becky::becky::becky: Kaizer Waguma??? au sio nshomile weye??hahahaah mwaka 95 ulikuwa Beijing?
Alaaa! nilikuwa sijajua bana! I will work on it!afadhali umuhakikishie Birigita....inatokea sana tu, na cjui kama ni kwangu tu lakini imetokea mr anampenda huyo mtoto kuliko maelezo, yaani ndio kipenzi chake.
Hata nikihama mkoa?? Au hii kemistri/bayoloji haina umbali....:smile-big:
Hii sasa ni unyanyasaji wa kijinsia!
Roya Roy hata uhame nchi kama ipo ipo tu:becky::becky:
mbona ikitokea kwa wife huoni kama ni unyanyasaji?...laiti mngelijua jinc gani mimba inavyosumbua mcngesema, ni jana tu frnd wangu ananical analia kweli kweli, namuuliza kulikoni ananiambia nilimuambia mr aniletee miwa japo nijickie vizuri imagine amerudi saa 2 hii hana hata kipande cha kucngizia, yaani ilikuwa kec nimemembeleza weee mpaka bac, ana mimba ya miezi 3....Mungu huyu angefanya tugawane majukumu jamani nahic mneshika adabu zenu vizuri.
mbona ikitokea kwa wife huoni kama ni unyanyasaji?...laiti mngelijua jinc gani mimba inavyosumbua mcngesema, ni jana tu frnd wangu ananical analia kweli kweli, namuuliza kulikoni ananiambia nilimuambia mr aniletee miwa japo nijickie vizuri imagine amerudi saa 2 hii hana hata kipande cha kucngizia, yaani ilikuwa kec nimemembeleza weee mpaka bac, ana mimba ya miezi 3....Mungu huyu angefanya tugawane majukumu jamani nahic mneshika adabu zenu vizuri.
Yote tisa...kumi ni ile ya hamu ya kubugia udongo.....reggers:...ndo maana nimeishia wawili, labda wa tatu angeniletea kasheshe hizi!
haa unaogopa kula udongo?...na bora uishie hapo hapo mana nafunga kwaresma yangu ukijaribu wa tatu tu upate joto yake...mie nilikuwa namtengenezea carrots kila asubuhi anabeba, ackisahau carrots ujue hata kama kafika jobanaweza arudi au ataomba apitishiwe, ile hamu ile...khaaa.
:becky::becky::becky: Kaizer Waguma??? au sio nshomile weye??
Cloe....taifa la MUngu wakikusikia kuwa umenifananisha hata kidogo na upande huo, hakika watakujia kwa mienge na sime kama walivomfata Yesu!:becky::becky::becky:
....bora uishie hapo hapo mana nafunga kwaresma yangu ukijaribu wa tatu tu upate joto yake...mie nilikuwa namtengenezea carrots kila asubuhi anabeba, ackisahau carrots ujue hata kama kafika jobanaweza arudi au ataomba apitishiwe, ile hamu ile...khaaa.
Cloe....taifa la MUngu wakikusikia kuwa umenifananisha hata kidogo na upande huo, hakika watakujia kwa mienge na sime kama walivomfata Yesu!:becky::becky::becky:
mbona ikitokea kwa wife huoni kama ni unyanyasaji?...laiti mngelijua jinc gani mimba inavyosumbua mcngesema, ni jana tu frnd wangu ananical analia kweli kweli, namuuliza kulikoni ananiambia nilimuambia mr aniletee miwa japo nijickie vizuri imagine amerudi saa 2 hii hana hata kipande cha kucngizia, yaani ilikuwa kec nimemembeleza weee mpaka bac, ana mimba ya miezi 3....Mungu huyu angefanya tugawane majukumu jamani nahic mneshika adabu zenu vizuri.
Kuna ambae yeye alikuwa anahitaji PIZZA tena ile large size kila siku na pia nyama ya mbuzi ya kuchoma mwanaume alikoma
Kaizer vipi haujakutana na hali hii nakumbuka kama vile nilikusikia siku moja unasema tokea wife ameshika mimba unasikia kichefuchefu mara kwa mara na unapenda kula machungwa na machenza, unamalizia funga sita?
:becky::becky::becky::heh: haya bana!
unajua hii hali haielezeki kabisa, yani ukiwa na hamu na kitu ukikosa unackia roho inataka kuacha mwli, mie ilikuwaga mihogo, hata ucku naamka nakula mhogo wa kuchoma, ya kwanza ilikuwa ilikuwa maembe mabichi na korosho, nilikuwa natafuna kila dk....wacheni jamani.
Dah sasa Nyamayao mihogo ya kuchoma ucku ulikuwa unaitoa wapi? au ndio when u are in need of something everything is possible no matter what condition you are in au ndio ulikuwa unafanya reserve ya mihogo?
mbona ikitokea kwa wife huoni kama ni unyanyasaji?...laiti mngelijua jinc gani mimba inavyosumbua mcngesema, ni jana tu frnd wangu ananical analia kweli kweli, namuuliza kulikoni ananiambia nilimuambia mr aniletee miwa japo nijickie vizuri imagine amerudi saa 2 hii hana hata kipande cha kucngizia, yaani ilikuwa kec nimemembeleza weee mpaka bac, ana mimba ya miezi 3....Mungu huyu angefanya tugawane majukumu jamani nahic mneshika adabu zenu vizuri.