Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
Tehe tehe!!! dont push back your plans kwasababu ya hii kitu! uwongo mtupu!
Ninywe mm ulewe wewe??!! uliona wapi!
wewe hebu dadic vizuri hii kitu....
Tehe tehe!!! dont push back your plans kwasababu ya hii kitu! uwongo mtupu!
Ninywe mm ulewe wewe??!! uliona wapi!
Hii sijui ni kemistri, bayoloji au fiziks...wewe hebu dadic vizuri hii kitu....
Nyamayao I guess hausemi hivyo kwa nia ya kumkomoa mwenzako
Nyamayao, kwanza hongera sana, hiyo ni dalili kwanza, mna mapenzi ya kweli, mapenzi ya dhati na you were made for each other, hivyo mmefikia stage ya juu ya mapenzi. Hii ni lever ya spiritual love, hivyo kwa kuona mmekuwa soul mates, spiritis zenu zimeungana, hiyo ndio inaitwa a perfect match!.very serious, inatokea sana tu....cwez kuelezea kisayanc lakini ipo sana tena sana,yaani vituko vya mimba vinahamia kwake, mie yalinitokea hayo na ilikuwa ngumu kwangu kujigundua kama mjamzito coz ckuona tatizo lolote kumbe ndio imehamia kwake.
Ngoja nimpigie simu mama nanhii akacheki ujauzito....hapa natapika sana aisee...:confused2:
Hii sijui ni kemistri, bayoloji au fiziks...
ni kweli wakulu hii hali huwa inatokea...ndo maana huwa nasema bora kulea mtoto kuliko mimba
mbona mnaogopa hivyo? ingepaswa iwe hivyo jamani, tusaidiane japo majukumu, mngetuheshimu sana.
ni kweli wakulu hii hali huwa inatokea...ndo maana huwa nasema bora kulea mtoto kuliko mimba
Ahaa ha aha ha mkulu mbona maneno yako yanaonyesha woga fulani
afadhali umuhakikishie Birigita....inatokea sana tu, na cjui kama ni kwangu tu lakini imetokea mr anampenda huyo mtoto kuliko maelezo, yaani ndio kipenzi chake.
Yaan nikinywa beer niitapike yote?? :mad2: Hapana huo 'msaada' sitautoa!
Hata nikihama mkoa?? Au hii kemistri/bayoloji haina umbali....:smile-big:sasa c utaitapika ukidhani ni tatizo lingine, ukishakuja kujua ndio shghuli inaendelea, mie alikuwa anakunywa pombe lakini sio kama mwanzo, sema suala la chakula ndio hapo,yaani ni dalili zile zote za mwanamke mjamzito, hata ufanyaje ikikutokea na pombe hutataka kuickia kama mimba haipendi pombe....
hii ni astral biology na meta physics. Haya ni mambo ya PSI (ParapSychologyIspiration)Hii sijui ni kemistri, bayoloji au fiziks...
hii ni kwa wengi mrs...lakini iwe isiwe upendo wa mtoto upo na wa mke pia upo zaidi ya hapo, ila pia nadhani katika watoto kuna ambaye huwa anapendwa zaidi na baba/mama sasa kumbe hii ni sababu mojawapo?
wewe hebu dadic vizuri hii kitu....
Hata nikihama mkoa?? Au hii kemistri/bayoloji haina umbali....:smile-big:
cjajua kama hii ni sababu moja wapo au vipi, kuna cku nilimuuliza kuhusu hilo sema hakutaka kuwa straight akasihia kusema nampenda sana coz ni kidume changu.
hii kitu ipo bana, utakuta mtu anakunywa beer weeee lakini haendi ku urinate wala nini jirani ndo anasulubika hata kama kanywa juice glass moja tu.:becky::becky::becky:
hata me napenda tusaidiane jamani yaani hayo mahangaiko ya kutapika,kula limao,maembe mabichi n.k yawe kwa mshikaji me ntaenda labour tu lol!!:A S 8: