Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Ule mpango wa UDOM nitautekeleza pindi chuo kitakopofunguliwa baada ya uchaguzi kwahiyo majaribio yangu yataanzia hapo mpwa natumaini utakuwepo kuangalia kama vipengele vya kwenye katiba navitimiza vilivyo
Mpwa umemaliza ile homewrok lakini?:confused2::becky: