Mmhhhhh....
Wenzio siku ya kuolewa huwa wanalia....
Kwa mambo kama hayo...
Wewe siku ya kuolewa ulichekelea?????
Ukikubali kuolewa,kubali yote.
.....Wanaume wengine bana anafikiri hiyo chakula, miezi sita ya ndoa bado tu anataka kila siku. Honeymoon watu ndio wanafanya mara kwa mara kwa kuwa hawana kazi za kufanya.
ha haha haaaaaaaaaaaaaaaaaaPenny,
Mdudu mwenyewe lol.
Jamani hebu apunguze, sikatai kufanya kila siku, lakini kama ni kweli jamaa akianza marathon inakuwa usiku mzima non stop, pengine labda bila hata kumuandaa bibie aah inakuwa kero lol! I cant imagine masikini pole dada wewe.
Huyo jamaa ni bora akatafuta nyumba ndogo!..maanake mkewe ameshaushindwa mziki huo!...
ajipindue uswazi akadumishe mila!
sasa mam'ii inapofika muda waifu ananianika kama hivi kwenye forum ya watu makini anategemea nin?Geoff ,,,eeh binamu ushauri wako unabomoa
HEHEHE!Inaonyesha jamaa anatumia sana pombe kali, muanze kumshauri apunguze pombe kali kama Valuu.
HII NIMEQUOTE TOKA SEHEMU NIKIAMINI KUNA WATU WENGINE WENYE TATIZO LINALOFANANA NA HILI..
HEBU TUWASAIDIE MAWAZO..
"Mimi nina mume ambaye tumekuwa tunaheshimiana na pale tunapokorofishana tunawekana wazi. Ila naona mume wangu anatake advantage of the situation.kila tunapogombana tunaombana msamaha na kila nikimkanya mume wangu kwa tabia yake mbaya huwa anaomba msamaha na tunakuwa na amani lakini sasa yeye haamini nimemsamehe mpaka apate "chakula cha ndoa".
Yaani hata ukimwambia umemsamehe mpaka apate hiyo kitu ndiyo anaamini nimesamehe.
Tatizo siyo kutoa hiyo kitu lakini ni kwamba atataka mshinde siku nzima mkifanya hayo mambo. Tumeoana tuna miezi sita na bado hatuna watoto so we are free in the house.
Najitahidi kumridhisha lakini mwenzangu anahamu kubwa ambayo nashindwa kukabiliana nayo.
Wakati mwingine mpaka nafanya kukimbia kitandani au najichelewesha kwenda kitandani ili nikute ameshalala maana akianza hiyo kitu ni usiku mzima anataka haniachi nafasi ya kulala usingizi. Nikimueleza anasema atapunguza lakini wapi , mchezo ni uleule.
Sitaki aone nafanya mapenzi kama wajibu tu. Ila mwili pia huchoka na hamu huwa pia inaisha.Yaani mimi nafanywa kila siku na pata likizo siku nikiwa mwezini na hata hivyo nitaulizwa kama period imeisha ana hamu na mimi.
Naogopa nikisafiri sijui atafanya na nani maana bila hiyo kitu mume wangu atanifanyia vurugu za kila aina mpaka apate halafu atatulia kama vile si yeye.
Mlioolewa/kuoa mnafanya nini kukabiliana na hali hii inapotokea ? naomba ushauri"
Source: harusiyangu.com
mama kuna watu wamebarikiwa!Lakini too much is harmfully!!!