rodgence kagaba
Member
- Apr 28, 2017
- 57
- 43
Aaah vipi una love meter kifaa kinachopima mapenzi ya kweli ukute ni dume
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa kubwa kutaja bikra ndipo ulipokosea hapoWadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.
Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.
Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.
Sifa zangu utazipata ukija pm.
Kwa walio serious tu.
Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.
Haya njooni sasa.
Na wewe usiniombe hela mpaka tutakapo oana.Ukimpata huyo yoyote nishtue na mm ila mm sio bikra....Ku do mpaka atoe mahali