Cleopatra 2
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 210
- 306
Wadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.
Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.
Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.
Sifa zangu utazipata ukija pm.
Kwa walio serious tu.
Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.
Haya njooni sasa.
Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.
Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.
Sifa zangu utazipata ukija pm.
Kwa walio serious tu.
Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.
Haya njooni sasa.