hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
Mmewakamatia wapi? Katika nchi ya Zanzibar na Zimbawe?
Kunaga nchi inaitwaga Zimbawe?
Mmewakamatia wapi? Katika nchi ya Zanzibar na Zimbawe?
Kuna mambo mengine kwa Waziri kuyaelezea mbele ya kadamnasi yanaonesha wazi namna kulivyo na upumbavu...
Watu wa kwanza kuwajibishwa hapo ni hao wahusika wa NEC...
Ina maana hawana karakana ya kutengeneza vifaa vyao vilivyo na mushkeli?
Bila shaka hao vishoka wametumia utaratibu mbovu wautumiao NEC katika kutatua matatizo ya kiufundi...