Hamna reaction ya hivo bhana hata kama ni utani
Maisha ni kitu cha ajabu sana, wale unaowadhania kuwa wema ndo hatari, ona km hii....
1.Daktari anakuombea uumwe.
2. Wakili anakuombea upate kesi.
3. Mtengeneza majeneza anakuombea ufe.
4.Polisi anakuombea uwe mhalifu.
cha ajabu na kushangaza Mwizi peke yake ndo anakuombea ufanikiwe......!!!!