Multiple deaths reported at shooting in Munich shopping mall

Multiple deaths reported at shooting in Munich shopping mall

Bado nasisitiza kuwa haya mambo si ya kushangaza barani ulaya hasa kwa mtu mwenye utimamu wa akili.....

Maelfu ya wakimbizi kutoka mashariki ya kati ambako msamiati wa amani na ubinaadamu umeshapotea vichwani mwao....huku wakionekana kukata tamaa na maisha kwani hawana cha kupoteza mwao....mambo kama haya yalitarajiwa.......

Huwezi kuwapokea wakimbizi ambao wanajua mateso yao na mahangaiko yao yamesababishwa na wewe alafu wewe ukabaki salama.......
Yaani ni sawa na mfano wa mtu ambaye umemgombanisha na ndugu zake kiasi cha kuondosha amani miongoni mwao alafu mtu huyo unampa hifadhi kwenye familia yako yenye amani.....hapo unadhani nini kitatokea....!!???

Dunia haipaswi kupumbazwa na haya yanayotokea sasa hivi balani ulaya kupitia CNN na BBC bali pia wanapaswa kuwafikiria mayatima na walemavu waliobakia huko mashariki ya kati yaliyosababishwa na makombora ya NATO na Marekani nyuma ya kichaka cha UGAIDI NA DEMOKRASIA........

Bahati mbya propaganda zimetawala kwenye vyombo vya habari vya magharibi kiasi ulimwengu mzima kumuonea huruma mzungu aliyechomwa kisu....kuliko mtoto au mwanamke asiyekua na hatia aliyesambaratishwa na makombora ya NATO......na Marekani.......

Kikulacho..post zako huwa zinavutia sana, ulichokisema ni ukweli halisi big up
 
Kikulacho..post zako huwa zinavutia sana, ulichokisema ni ukweli halisi big up

ImageUploadedByJamiiForums1469389905.825528.jpg

Yameuana tena huko Iraq lakini utashangaa mtu anakuja hapa na kusema wamechonganishwa na Marekani,Israel au nchi za magharibi.Hawa jamaa kuua au kuuana ni kawaida yao.
 
Kumbe hao watu tisa waliouliwa (bila ya hatia yeyote) kwenye mashambulizi ya Munich (wanane ni Waislamu).
 
View attachment 370498
Yameuana tena huko Iraq lakini utashangaa mtu anakuja hapa na kusema wamechonganishwa na Marekani,Israel au nchi za magharibi.Hawa jamaa kuua au kuuana ni kawaida yao.
Kumbe haujui kwamba vita hivyo vya Iraq vimeanzishwa na Wamarekani, Wamarekani ndio walio ivamia Iraq na kuvuruga amani ya inchi hiyo (amka bro).
 
Kumbe haujui kwamba vita hivyo vya Iraq vimeanzishwa na Wamarekani, Wamarekani ndio walio ivamia Iraq na kuvuruga amani ya inchi hiyo (amka bro).

Ujinga mtupu unataka kutuaminisha aliyejilipua huyo ni Mmarekani???hao ni waarabu kwa waarabu wameamua kuuana ili kuisingizia Marekani.
 
Leo hii tena yamejilipua huko Ujerumani,Hawa watu ni hatari.
 
Hata wale walioko hospitali ya Milembe hawawezi kukubali!!!


Teh!, atasingiziwa mengi mwaka huu, amashatuhumiwa kushirikiana na Russians ku hack emails za DNC.
 
Walielewa sema wakajitia upofu na uziwi wasiokuwa nao,acha kila mtu aonje matunda ya mti aliopanda.

Ni kweli, ile miti ya matunda ya chuki walopanda imemea vizuri na sasa ni muda wake wa mavuno.

Hamna namna tena ni lazima kuvuna na kuonja hayo matunda hata kama ni machungu.
 
Tabia ya kuua watu wasio na hatia ni ya waarabu hivyo ikitokea kwa mtu mwingine lazima awe na matatizo ya akili au amekaririshwa na ile imani yao ya kuua maana si kawaida kwa mtu wa kawaida kufanya unyama kama huo.Mfano huyu aliyefanya mauaji huko Munich kuna viashiria kuwa ni jamaa wa Irani ni walewale tu ni kama Nyani na Tumbili.

Chuki zikipandikizwa miongoni mwa watu haziachi kumea, humea na kustawi vizuri sana.

Zitamea tuu popote pale haijalishi ni waafrika, wazungu, waarabu nk. Sababu hawa wote ni binadamu na binadamu wana sifa(Same characteristics) zinazofanana.

Unapovamia katika mataifa ya wengine kwa interest zako mwenyewe unapanda chuki, sababu kule unakovuruga wahanga pia ni binadamu.
Inafahamika vizuri kuwa uvumilivu wa binadamu huwa na kikomo.

Hii biashara ya kupandakiza chuki ni ngumu daima sababu huwa haina faida, mavuno ni hasara tuu na hasara yake ni kupoteza uhai.
 
Back
Top Bottom