Multiple deaths reported at shooting in Munich shopping mall

Multiple deaths reported at shooting in Munich shopping mall

Hivi wewe kiumbe una umri gani? Isije ikawa napoteza time yangu kukielewesha kitoto cha Shule? NATO ni nini na EU ni nini? Angalia masomo yako kwanza ukimaliza shule haya mambo utayakuta tu.
Naona umeanza mipasho sasa mi sio wa hivyo.
Anyway sishangai ndio nyie hata Marekani mnaita Ulaya.
 
Germany wata regret kuwakaribisha watu waliofunzwa imani Kali hawana chakupoteza aisee
Hujui lolote maskini wa kifikiri wee (brain washed na media).

Just for your information: Waislamu wapo hapo German tokea zamani sana hasa Waturuki na waarabu kutoka north Afrika. Pia aliofanya attack hiyo ni mtoto wa shule aliozaliwa hapo hapo German (mwenye asali ya Iran), inasemekana ana matatizo ya akili (zipo medical reports zake kutoka Hospitali ya wehu).

Ama kweli wajinga ndio waliwao.
 
We umejuaje kama c waislam?wenyew wajeruman wanasema ni muislam mwenye asili ya iran
Aliofanya attack hiyo ni mtoto wa shule aliozaliwa hapo hapo German (mwenye asali ya Iran), inasemekana ana matatizo ya akili (zipo medical reports zake kutoka Hospitali ya wehu).

Ama kweli wajinga ndio waliwao.
 
Huyu ni mjerumani kazaliwa ujerumani. Kalelewa ujerumani. Na familia yake sio watu wanaofuata misimamo ya dini. Wacheni propaganda.
Pia ni mtoto wa shule mwenye matatizo ya akili (zipo medical reports zake kutoka Hospitali ya wehu).

Ama kweli wajinga ndio waliwao.
 
Aliofanya attach hiyo ni mtoto wa shule aliozaliwa hapo hapo German (mwenye asali ya Iran), inasemekana ana matatizo ya akili (zipo medical reports zake kutoka Hospitali ya wehu).

Ama kweli wajinga ndio waliwao.
Sijaelewa mkuu ameattach kitu gan kwenye nn hapo munich?au umekosea ulikua hunijib mimi? Maana cjaongelea habari yoyote inayohusu attachment mkuu
 
Sijaelewa mkuu ameattach kitu gan kwenye nn hapo munich?au umekosea ulikua hunijib mimi? Maana cjaongelea habari yoyote inayohusu attachment mkuu
Namaanisha ATTACK, nadhani umeelewa.
 
Yeye ni Dual-Citizen Iran/Mjeremani sasa Iran si ni walewale tu waliokunywa uji wa mgonjwa.Huyo ana chembechembe za kuua watu, maana ndiyo zao hizo To shed Inocent blood.

Wenye chembechembe za kuua ni wale wazungu walio anzisha World war 1 and 2 na kuua mamilioni ya watu, pia Wenye chembechembe za kuua ni wale wazungu waliouwa mamilioni ya Wajapani kwa nuclear bomb huko Japan, Wenye chembechembe za kuua ni wale wazungu waliouwa mamilioni ya Wayahudi huko Europe, Wenye chembechembe za kuua ni wale wazungu walioivamia Iraq, Afghanistan na Libya na kuua mamilioni ya Waislamu bila ya hatia yeyote.


Wenye chembechembe za kuua ni wale wazungu kila kukicha wanafikiria namna ya kutengeneza silaha mpya zenye kuuwa watu wengi zaidi.....

TAFAKARI.

USIKUBALI KUWA MJINGA.

Hizi propaganda za media za kimagharibu zina kutoa akili. Wajinga ndio waliwao. Shukran.
 
Wenye chembechembe za kuua ni wale wazungu walio anzisha World war 1 and 2 na kuua mamilioni ya watu, pia Wenye chembechembe za kuua ni wale wazungu waliouwa mamilioni ya Wajapani kwa nuclear bomb huko Japan, Wenye chembechembe za kuua ni wale wazungu waliouwa mamilioni ya Wayahudi huko Europe, Wenye chembechembe za kuua ni wale wazungu walioivamia Iraq, Afghanistan na Libya na kuua mamilioni ya Waislamu bila ya hatia yeyote.


Wenye chembechembe za kuua ni wale wazungu kila kukicha wanafikiria namna ya kutengeneza silaha mpya zenye kuuwa watu wengi zaidi.....

TAFAKARI.

USIKUBALI KUWA MJINGA.

Hizi propaganda za media za kimagharibu zina kutoa akili. Wajinga ndio waliwao. Shukran.

Mahmood hivi ukiwa mwarabu ndiyo unakuwa mbishi kama shetani??mbona inaonyesha una macho lakini huoni na una Masikio lakini hata redio za mbao husikii??Una pua lakini hunusi uharo unaotoka kwenye nchi za waarabu???
 
Ali Sonboly: Everything we know about the Munich gunman

View attachment 369848

23 JULY 2016 • 1:41PM

The Munich shooter was an 18-year-old Iranian-German "loner" named locally as Ali Sonboly, who reportedly complained of bullying shortly before gunning down his nine victims outside a shopping centre and fleeing the scene to commit suicide.

What we know about him

He was a student, born and raised in Munich.Police have found no indication that he had links to Islamic State but have said there are 'obvious links' to far-right terrorist Anders Breivik.There appeared to be no links to immigrants or immigration into Germany.He appears to have acted alone. He used a semi-automatic 9mm Glock 17 handgun, which had had its serial number illegally removed.An additional 300 rounds of ammunition were found in his rucksack when his body was found.He had previously received psychiatric treatment, including for depression.A search of his room had unearthed a document about "frenzied attacks" and a book called: "Rampage in Head: Why Students Kill."Munich chief of police Hubertus Andrae said the gunman appeared to be "obsessed with shooting rampages".The gunman appeared to have hacked into a Facebook account to tell people free food was going to be handed out at the McDonald's where his rampage started.

What happened

Posing as a teenage girl called 'Selina Akim', Sonboly is thought to have used messages posted on a fake Facebook account to lure young victims to their death with fraudulent offers of free food just hours before his murderous rampage began.

Instead, he opened fire outside a nearby McDonald's, leaving nine people dead and three seriously injured, while thirteen others escaped with less serious injuries.

"The perpetrator was an 18-year-old German-Iranian from Munich," police chief Hubertus Andrae told reporters after the massacre on Friday that left 10 people dead including the gunman.

"The motive or explanation for this crime is completely unclear."

Munich shooter responds to 'f*****g foreigner' taunts by saying 'I am German'Play!01:50

Mr Andrae said the gunman - who opened fire at a busy shopping centre near the southern German city's Olympic stadium before turning the gun on himself - had dual citizenship and "no criminal record". He said inquiries suggested the suspect had lived in the city for more than two years.

Mr Andrae said the suspect's body was found about 2 1/2 hours after the attack and was identified to be the shooter based on witness statements and closed circuit television footage of the attack. He was not previously known to police and there was no evidence of any links to terrorist organisations, Mr Andrae said.

Police also thought it likely that Friday’s five-year anniversary of Anders Breivik’s attacks on the island of Utoya played a role in the attack.

Made online threats to kill friends

Sonboly previously threatened to kill his friends in messages posted on the video gaming network Steam, it has emerged.

The teenager was said to be obsessed with video gamesaccording to German newspaper Bild, and several were found in his apartment.

It also emerged that he used his account on the Steam network - which allows users to play computer games against each other - to issue death threats to other players.

"Come to the McDonald's and I will come and get you and shoot you," he reportedly told his friends using a microphone.

He appears to have posted messages on the Steam network under a number of different aliases.

They include: "Psycho," "Until I see sense no more," "Godlike" and "We will play this game to death."

"About a year ago we kicked him out of the [Steam] group because he kept threatening us,"a former classmate told Bild. It is the latest evidence to suggest that there were warnings Sonboly was preparing to carry out a mass killing.

Gunman on the roof

A video appeared to show the gunman on the roof of a parking garage as he exchanged insults with people on a nearby balcony who referred to him a foreigner.

The gunman is seen on the roof of a car park.

"I'm German, I was born here," the assailant is heard to reply.

An onlooker then calls him a "w*****" before the gunman tells the man to “shut your trap” and more shots are fired.

The gunman also apparently claimed to have been "bullied for seven years".

Police commandos, armed with night vision equipment and dogs, raided an apartment in the Munich neighbourhood of Maxvorstadt early on Saturday where the German newspaper Bild said the gunman lived with his parents.



Footage shows shooter open fire on people outside shopping mall in MunichPlay!00:25

"He lived right next to me," Bild quoted a neighbour as saying. "A friend of mine went to school with him and said he was rather a quiet guy. He recognised him from the videos from the scene."

German Foreign Minister Frank-Walter Steinmeier also said the motive for the attack was not yet clear.

"The motives for this abhorrent act have not yet been completely clarified - we still have contradictory clues," German Foreign Minister Frank-Walter Steinmeier said in a statement.

People run from scene of shooting in MunichPlay!00:32

While police initially called the mall shooting an act of terrorism, they said they had "no indication" it involved Islamic extremism.

US intelligence officials, speaking on condition of anonymity, said initial reports from their German counterparts indicated no apparent link between the gunman and Islamic State or other militant groups.

Sura yake tu inaonyesha ana hamu ya kumwaga damu za watu wasio na hatia,ni kweli anaweza kuwa hakushirikiana na ISIL lakini damu yake ina chembechembe za kiuaji,nimeshasema waarabu na hao Iran ni walewale tu kwenye damu zao kuna chembechembe za kiuaji.
 
Aliofanya attack hiyo ni mtoto wa shule aliozaliwa hapo hapo German (mwenye asali ya Iran), inasemekana ana matatizo ya akili (zipo medical reports zake kutoka Hospitali ya wehu).

Ama kweli wajinga ndio waliwao.

Ili kuficha uovu huo mmeamua kumbatika ukichaa ili iwe Loophole kwenu?????
 
Hahaha, ama kweli akili ni mali. Angekuwa mkristo asinge tajwa kwa jina la dini yake.


Wajinga ndio waliwao (hizi media propaganda za kimagharibi zinawapata wajinga wengi sana).

Si ajabu hata hizi attacking ni acting tu kama walivyo act kwenye Septemba 11.

Eti gari moja limewaganyaga watu 83 (na wote wakafa)!!!! .

Hawa wazungu wanatafuta excuses za kuanzisha vita vipya dhidi ya inchi za Kiislamu.

Mara hii sijui itakuwa wapi.

Last time ilikuwa Iraq na Afghanistan, walizivamia inchi hizi na kuvuruga amani ya inchi hizi, bila ya hatia yeyote (it was after 11 September acting).

Hawa waislamu hawaishiwi visingizio mara US mara Israel Mara nchi za magharibi mara Media za magharibi mara wanatusingizia.Ujinga mtupu wenye akili tunajua kila kitu
 
Hata wakiwatete ukweli upo pale pale.
Marehem sheikh Ilunga na wahubiri wengi wanawahusisha wajerumani na mauwaji ya waislam wa Tanganyika kwa nia yakudhofisha uislam na waislam.
Huko songea ndio kulipitwa waislam waliuliwa na kufanyiwa kila aina dhulma.

Huu ni ujinga mtupu kwani wajerumani hapa Tanzania waliua waislamu tu???Hivi ukiwa mwislamu ndiyo unakuwa Bingwa wa kulalama???
 
Aliofanya attack hiyo ni mtoto wa shule aliozaliwa hapo hapo German (mwenye asali ya Iran), inasemekana ana matatizo ya akili (zipo medical reports zake kutoka Hospitali ya wehu).

Ama kweli wajinga ndio waliwao.

Eti mwehu!!
ImageUploadedByJamiiForums1469373427.889702.jpg
 
Huu ni ujinga mtupu kwani wajerumani hapa Tanzania waliua waislamu tu???Hivi ukiwa mwislamu ndiyo unakuwa Bingwa wa kulalama???
Huu ni ujinga mkubwa mtu kusoma kitu katikati ungeanzia mjadala ulipo anzia ujinga wako usingeonekana.
 
Huu ni ujinga mkubwa mtu kusoma kitu katikati ungeanzia mjadala ulipo anzia ujinga wako usingeonekana.

Wewe ulianzia mwanzo ungelifafanua nikaelewa kuliko kuujulisha Ujinga wako hadharani.
 
Back
Top Bottom