tulimu nyegela ge, mbwenu waijanakisi?
Kumbe mnafahamiana?
Karibu sana mkuu ingawa kwa kawaida BINADAMU huwa MGENI na si MPYA. Teh*Salamu za kwetu.mpo wanaJamii? Mi ni mtu 'mpya' kwa uwanja huu.naomba tushirikiane kwani nimeona mna vitu nzuri.nimevutwa nazo,naamini mtapata ma busara yangu pia.ASANTE Najua mpo ange nami.
yan huyu mhaya unamuandikia turashashe...yeye atajua unataka augue kwan kuumwa/kuugua-KUSHASHA! We mhaya karibu hapa. Waija namaguru? Turihoeee!Turiyo turashashe mutama.
yan huyu mhaya unamuandikia turashashe...yeye atajua unataka augue kwan kuumwa/kuugua-KUSHASHA! We mhaya karibu hapa. Waija namaguru? Turihoeee!
Wapemba hujuana kwa vilemba vp umeishaukumbuka huu msemo?
Salamu za kwetu.mpo wanaJamii? Mi ni mtu 'mpya' kwa uwanja huu.naomba tushirikiane kwani nimeona mna vitu nzuri.nimevutwa nazo,naamini mtapata ma busara yangu pia.ASANTE Najua mpo ange nami.
Kumbe mnafahamiana?
Karibu sana mkuu ingawa kwa kawaida BINADAMU huwa MGENI na si MPYA. Teh*
Welcome JF
Turiyo turashashe mutama.
yan huyu mhaya unamuandikia turashashe...yeye atajua unataka augue kwan kuumwa/kuugua-KUSHASHA! We mhaya karibu hapa. Waija namaguru? Turihoeee!
Wenyewe (Bkb) wanasemaga: 'karibu sana, Je, umefika miguu hii hii?' Anyway karibu Jf.