Aaah Mr. Mukoba almanusura angekuwa baba mkwe wangu. Ana mabinti Wazuri sana mzee wangu huyu. baba kaza buti hadi kieleweke. Ila angalia sana unakumbuka ule mgomo wa kwanza nyumbani kwako kulivyokuwa kunawindwa na TISS. Wasije waka ku ulimboka mzazi wangu wee...