Mukama akutana na Kardinali Pengo

Mukama akutana na Kardinali Pengo

Miruko

Senior Member
Joined
Feb 8, 2008
Posts
174
Reaction score
46
Pengo.JPG Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Dar es Salaam leo.
 
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akisaini kitabu cha wageni Ofisini kwa Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Dar es Salaam leo.

ameenda kufanya sala ya toba tu.
 
Magamba bila neno la mungu yamegoma kuvulika - jamaa kaenda kupata upako.
 
Yaaani hawa magamba wana shida hawa!!tutashuhudia mengi sana mwaka huu!!
 
si walisema maaskofu wavue majoho ...... ?
 
ukiwaangalia kwa makini inaonyesha ni kikao cha amani na utulivu
 
Hii nayo ni strategy ya ccm ya kuwagilibu wakristo ili waamini viongozi wao wa juu wanaisapoti ccm.
 
Mashekhe hawawafai tena MAGAMBA? Karibuni mtubu dhambi zenu..
 
  • Thanks
Reactions: LAT
si walisema maaskofu wavue majoho ...... ?

hiyo sio kauli ya CCM ni kauli ya Mary chatanda na Mzee wetu mstaafu Yufuf Makamba. Makamba tayari kavuliwa joho la kijani na CCM na Chatanda kakoshwakoshwa huko Arusha lakini bado cinema inaendelea kati yake na James Millya yamkni naye atavuliwa joho la kijani kabla hajawavua maasikofu.
 
Ni kama kinachofuata baada ya kusaini kitabu cha wageni Mkama atamwambia Pengo avue Joho!!!!!!!!!!
 
Angekuwa katibu mkuu wa cdm ndiye kakutana na pengo, mmmmh udini ungeingizwa kati lakini sasa ni katibu mkuu wa CCM wana Jf wenye kupenda kupanda mbegu za udini hawatahoji kilichozungumzwa.
 
Angekuwa katibu mkuu wa cdm ndiye kakutana na pengo, mmmmh udini ungeingizwa kati lakini sasa ni katibu mkuu wa CCM wana Jf wenye kupenda kupanda mbegu za udini hawatahoji kilichozungumzwa.

MS akiiona hii thread sijui itakuwaje....!
 
mpiga picha hakuwa makini sana kapiga picha....Mkama haangalii kitabuni........, kwa wataalam wa picha inakuwa kama alishamaliza kusaini kamera ikachelewa kisha akaombwa tena kushika tu pen huko anaangalia nje ya kitabu. Hao ndio aina ya cameramen tulionao. mwisho unaweza kukuta hata picha yenyewe ni ya kuungwa kwa kompyuta.
 
hapo kachemka au kachelewa Lowasa kashawahi Nigeria kupata toba kubwa
 
Atakuwaa ameenda kupata michongo ya wanaojihusisha kuingiza madawa ya kulevya kwa kivuri cha kanisa ili nao wawavue gamba, maana huyo mzee ni mtaalam kwa kuwavua gamba. Pengo anaona aibu kwa kufatwa na mzee wa kuvua gamba nadhani alikuwa anafikiria "labda huyo mzee kaja kunichana live nini eti na mie nivue gamba."
 
Angekuwa katibu mkuu wa cdm ndiye kakutana na pengo, mmmmh udini ungeingizwa kati lakini sasa ni katibu mkuu wa CCM wana Jf wenye kupenda kupanda mbegu za udini hawatahoji kilichozungumzwa.
Mbu sugu:vichwa vyao vigumu sana watahoji tu wee subiri.
 
Back
Top Bottom