sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 649
Atakuwaa ameenda kupata michongo ya wanaojihusisha kuingiza madawa ya kulevya kwa kivuri cha kanisa ili nao wawavue gamba, maana huyo mzee ni mtaalam kwa kuwavua gamba. Pengo anaona aibu kwa kufatwa na mzee wa kuvua gamba nadhani alikuwa anafikiria "labda huyo mzee kaja kunichana live nini eti na mie nivue gamba."
Utulivu unahitajika sana kwenye kuandika,napita tu: