Mukama aibuka, aishambulia CHADEMA!

Mukama aibuka, aishambulia CHADEMA!

Nimekumkumbuka mfalme Juha aliyejinyonga mchana kweupe kwa kuingizwa mkenge.ha ha.
 
Huwezi kuwa kwenye magamba ukayegemea uwe msafi. ni kama mtu anayetapatapa kwenye tope huku akijidanganya kuwa yu msafi!!! Mtu msafi hawezi kuendelea kung'ang'anna CCM ya leo!!! CCM ya wasafi ilikuwa ile ya kina Kambara Nyerere na wakina Rashid Mfaume kawawa. shame on you Mkama!!
 
Hivi ukiwa Ccm lazima uwe mnafiki ?

CCM YA AJABU SANA, KWANZA WAMEMPA UKATIBU MKAMA A MAD MAN, PILI MAFISAD NDO WAMESHINDA KWA KISHINDO NA WAADILIF AKINA MAKONGORO WAMEKULA MWELEKA WA UKWELI, PIA KILA MTOTO WA KIONGOZ WA CCM KAWEKEWA NAFASI KTK NEC YAO, DS IS REDICULUs. LZM NIAMINI CHAMA IKI KINAKUFA TARATIBU
 
WILISON MUKAMA, akili yake haina akili, imezeeka, amepitwa na wakati, hafai hata kuongoza kata! Ndiyo sababu Nape kamu overpower kwa kila kitu. Shame on you Wilson.
 
Huyu jamaa ni sawa na mtu aliye kwenye coma, akiibuka anaomba sigara, anaruddi tena kwenye coma, akiibuka mara nyingine anaomba bange, kisha anrudi nk

Sio any impact ya huyu jamaa kwa CCM, they could do without katibu mkuu kwani aliyepo ni kama huwa ana kile cha msimu, huibuka na kuzama

he should do better, or they need to replace him before 2013, kama wako serious
 
Babu yangu ana mvii ila ana busarara sana ila ukiwa ccm hata uwe na mamvi kichwa kizima busara ni Dura!
 
1.Hongera Waridu Kabouru!
2.Tambwe Hiza
3.Prince Bagenda
4.Gulamhusein Kifu
5.Dani Makanga
6.Steven Wassira
 
MKAMA UJINGA NA UJUHA. NI MAADILI GANI MNAYO NYIE WANA CCM? WATOTO WENU JUZI JUZI WAMEKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA CHINA. TENA ULIMWENGU UMESHANGAA KUONA CHINA INA DOUBLE STANDARD. INAKUWAJE WENGINE WANYONGWE WENGINE BABA ZAO WAWAIJIE KWA GHARAMA XA KODI ZETU NA MUWAACHIE. HAYO NDO MAADILI MKAMA ANATAKA TUAMINI? leo huyo muuza madawa ya kulevya ni mjumbe wa NEC CCM.
 
*Asema inakabiliwa na ukame wa viongozi waliopikika kimaadili
* Hata kupata wagombea hutegemea 'iokoteze' walioshindwa michujo au chaguzi za CCM
* Asena kwa mtaji huo haiwezi kuwa chama chenye tija na hatma njema kwa taifa.


NA BASHIR NKOROMO

KATIBU Mkuu wa CCM, Wilson Mukama amesema Chadema hakiwezi kuwa chama chenye tija na hatma njema kwa taifa kutokana na kulazimika kuokoteza hata wagombea wake kutokana na wanaoshindwa kwenye michujo au chaguzi ndani ya CCM. Alisema, Chadema na vyama vingine vya upinzania hapa nchini, vinazama katika hali hiyo, kutokana na kutokuwa na tanuru imara linalowawezesha kutoa viongozi waliopikika kimaadili, kama ilivyo ndani ya CCM. Amesema, Chadema wanaposema, kwamba kwa CCM kutowafukuza au kuwanyima uongozi baadhi ya wana-CCM ni kuizika CCM, huko ni kulia kinyume kwamba kwa kutofanya hivyo CCM imewakosesha watu ambao wangehamia kwao hivyo chama chao kinakufa.

Mukama alisema hayo jana wakati wa sherehe ya kuwapongeza wana-CCM Kata ya Msasani kwa kukamilisha chaguzi zao ndani ya chama katika kata hiyo, iliyofanyika kweny6e ukumbi wa Maisha Club, Msasani jijini Dar es Salaam. Mukama alisema, CCM ni taasisi iliyojengwa katika misingi imara na mshikamano wake ni kama ngumi inayoundwa na vidole vitano na kitaendelea kuwa imara kwa sababu viongozi wake wanatokana na tanuru lililowapika kimaadili wakapikika.

"CCM bwana ni tasisi yenye viongozi wenye chimbuko la maadili, siyo kama vyama vingine vinaongozwa na wenye vilabu vya usiku halafu eti navyo ni vyama vya kuweza kuongoza nchi", alisema Mukama. Alisema kutokana na CCM kuwa chama chenye chimbuko la maadili bora, ndiyo sababu kila kinapofanya uchaguzi wa kupata viongozi wake huwa ni wa kihistoria kwa kuwa anayepenya kuwa kiongozi huwa amepita kwenye tanuru la uchujwaji wa hali ya juu.

"Juzijuzi tulipokuwa tunateua majina ya wagombea, Kamati yetu ya maadili, haikuacha kuchunguza hatua kwa hatua na kwa makini kama kila aliyeomba uongozi anazo sifa bora na zinakidhi viwango vya kushinda anayetakiwa kuondolewa yeye abaki, hivi ndivyo chama chenye misingi ya uadilifu ya uongozi kinavyokuwa", alisema Mukama na kuongeza:- "Sasa hivi vyama vingine vinaweza kufanya mchujo wa aina hii? thubutu.

Si mlisikia juzi juzi mbunge mmoja alijaribu kuonyesha nia ya kutaka uenyekiti wa Chama fulani, wee mliona alivyofurumushwa". Mukama alisema, wanaosema CCM inakufa ni wavivu kufanya tathmini au wanasema hivyo kudanganya watu na nafsi zao huku wenyewe wakiwa wanajua kwamba CCM ni imara tena kwa vigezo.

"Hivi jamani tujiulize na wao (wapinzani) wakitaka pia wajiulize chama chenye mwelekeo wa kufa kinaweza kupata wagombea ambao ni Wazee, Vijana kina baba na kina mama tena wengi wasomi kabisa waliobobea hadi ngazi za uprofesa, wanaokanyagana kwa wingi kama tulivyoona wakiomba uongozi katika nafasi mbalimbali? ", alihoji Mukama. Alisema, tutokana na hali ya uchaguzi ndani ya Chama iliyojionyesha katika ngazi za mikoa, baada ya kumalizika ngazi ya taifa, CCM itakuwa itakuwa imara zaidi tayari kwa kutwaa dola tena baada ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Katika hafla hiyo, wanachama wa Kata hiyo, waliuopongeza uongozi wa juu wa CCM kwa namna ulivyoweza kuweka taratibu zilizo wazi na za haki katika kuhakikisha uchaguzi ndani ya chama unazaa viongozi walio dhabiti. Mapema, Mukama alikabidhi hati kwa vijanan na makamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM, ambao wameshiriki katika shughuli mbali mbali za kuimarisha chama kwa namna moja au nyingine.

Wanakanyagana kutaka uongozi ndani ya CCM kwa kuwa wanatambua kuw ani chama dola hivyo kupata uongozi huo ni njia rahisi ya kujihakikishia hisa kubwa zaidi katka keki ya taifa.
 
Kama mahali unapotokea ndio pana determine mtu kupewa dola, basi makaongoro nyerere au Husseini mwinyi wangepewa Uraisi, kwakuwa wao wametokea pale magogoni ikulu kwenyewe.! wingi wa wasomi wanaokimbilia ccm ni woga tuu wa kupoteza mkate na ni kwasababu ccm bado imeshika dola tuu.Wasubirie kushangaa baadae
 
''Wanachama waliopikika kimaadili kama ilivyo CCM''

Ni mpumbavu peke yake anayeweza kuamini kuwa CCM kuna wanachama waliopikika kimaadili. Tunachojua tuliowengi ni kuwa ndani ya ccm wengi wamepikika kwa rushwa na ufisadi kwa ujumla
 
*Asema inakabiliwa na ukame wa viongozi waliopikika kimaadili
* Hata kupata wagombea hutegemea 'iokoteze' walioshindwa michujo au chaguzi za CCM
* Asena kwa mtaji huo haiwezi kuwa chama chenye tija na hatma njema kwa taifa.


NA BASHIR NKOROMO

KATIBU Mkuu wa CCM, Wilson Mukama amesema Chadema hakiwezi kuwa chama chenye tija na hatma njema kwa taifa kutokana na kulazimika kuokoteza hata wagombea wake kutokana na wanaoshindwa kwenye michujo au chaguzi ndani ya CCM. Alisema, Chadema na vyama vingine vya upinzania hapa nchini, vinazama katika hali hiyo, kutokana na kutokuwa na tanuru imara linalowawezesha kutoa viongozi waliopikika kimaadili, kama ilivyo ndani ya CCM. Amesema, Chadema wanaposema, kwamba kwa CCM kutowafukuza au kuwanyima uongozi baadhi ya wana-CCM ni kuizika CCM, huko ni kulia kinyume kwamba kwa kutofanya hivyo CCM imewakosesha watu ambao wangehamia kwao hivyo chama chao kinakufa.

Mukama alisema hayo jana wakati wa sherehe ya kuwapongeza wana-CCM Kata ya Msasani kwa kukamilisha chaguzi zao ndani ya chama katika kata hiyo, iliyofanyika kweny6e ukumbi wa Maisha Club, Msasani jijini Dar es Salaam. Mukama alisema, CCM ni taasisi iliyojengwa katika misingi imara na mshikamano wake ni kama ngumi inayoundwa na vidole vitano na kitaendelea kuwa imara kwa sababu viongozi wake wanatokana na tanuru lililowapika kimaadili wakapikika.

"CCM bwana ni tasisi yenye viongozi wenye chimbuko la maadili, siyo kama vyama vingine vinaongozwa na wenye vilabu vya usiku halafu eti navyo ni vyama vya kuweza kuongoza nchi", alisema Mukama. Alisema kutokana na CCM kuwa chama chenye chimbuko la maadili bora, ndiyo sababu kila kinapofanya uchaguzi wa kupata viongozi wake huwa ni wa kihistoria kwa kuwa anayepenya kuwa kiongozi huwa amepita kwenye tanuru la uchujwaji wa hali ya juu.

"Juzijuzi tulipokuwa tunateua majina ya wagombea, Kamati yetu ya maadili, haikuacha kuchunguza hatua kwa hatua na kwa makini kama kila aliyeomba uongozi anazo sifa bora na zinakidhi viwango vya kushinda anayetakiwa kuondolewa yeye abaki, hivi ndivyo chama chenye misingi ya uadilifu ya uongozi kinavyokuwa", alisema Mukama na kuongeza:- "Sasa hivi vyama vingine vinaweza kufanya mchujo wa aina hii? thubutu.

Si mlisikia juzi juzi mbunge mmoja alijaribu kuonyesha nia ya kutaka uenyekiti wa Chama fulani, wee mliona alivyofurumushwa". Mukama alisema, wanaosema CCM inakufa ni wavivu kufanya tathmini au wanasema hivyo kudanganya watu na nafsi zao huku wenyewe wakiwa wanajua kwamba CCM ni imara tena kwa vigezo.

"Hivi jamani tujiulize na wao (wapinzani) wakitaka pia wajiulize chama chenye mwelekeo wa kufa kinaweza kupata wagombea ambao ni Wazee, Vijana kina baba na kina mama tena wengi wasomi kabisa waliobobea hadi ngazi za uprofesa, wanaokanyagana kwa wingi kama tulivyoona wakiomba uongozi katika nafasi mbalimbali? ", alihoji Mukama. Alisema, tutokana na hali ya uchaguzi ndani ya Chama iliyojionyesha katika ngazi za mikoa, baada ya kumalizika ngazi ya taifa, CCM itakuwa itakuwa imara zaidi tayari kwa kutwaa dola tena baada ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Katika hafla hiyo, wanachama wa Kata hiyo, waliuopongeza uongozi wa juu wa CCM kwa namna ulivyoweza kuweka taratibu zilizo wazi na za haki katika kuhakikisha uchaguzi ndani ya chama unazaa viongozi walio dhabiti. Mapema, Mukama alikabidhi hati kwa vijanan na makamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM, ambao wameshiriki katika shughuli mbali mbali za kuimarisha chama kwa namna moja au nyingine.


Mfa maji haachi kutapatapa, kwahiyo wanataka kutuambia CDM haina wasomi? ni waongo wakubwa nadhani hawajasoma vizuri cv za CDM. Bahati mbaya wengi walioko ccm wana dhambi zao wengine wamegushi vyeti, wamesomea majina ya watu n.k. lakn CDM is reliable party mtu mwenye cv feki hawezi kupata uongozi ndiyo maana wanahangaika kutafuta kuchafua lkn wanachemka wenyewe
 
*Asema inakabiliwa na ukame wa viongozi waliopikika kimaadili
* Hata kupata wagombea hutegemea 'iokoteze' walioshindwa michujo au chaguzi za CCM
* Asena kwa mtaji huo haiwezi kuwa chama chenye tija na hatma njema kwa taifa.

"CCM bwana ni tasisi yenye viongozi wenye chimbuko la maadili, siyo kama vyama vingine vinaongozwa na wenye vilabu vya usiku halafu eti navyo ni vyama vya kuweza kuongoza nchi", alisema Mukama. Alisema kutokana na CCM kuwa chama chenye chimbuko la maadili bora, ndiyo sababu kila kinapofanya uchaguzi wa kupata viongozi wake huwa ni wa kihistoria kwa kuwa anayepenya kuwa kiongozi huwa amepita kwenye tanuru la uchujwaji wa hali ya juu.

"Juzijuzi tulipokuwa tunateua majina ya wagombea,
Kamati yetu ya maadili, haikuacha kuchunguza hatua kwa hatua na kwa makini kama kila aliyeomba uongozi anazo sifa bora na zinakidhi viwango vya kushinda anayetakiwa kuondolewa yeye abaki, hivi ndivyo chama chenye misingi ya uadilifu ya uongozi kinavyokuwa".

Akina Sumaye (Hanang), William Kusila (Dodoma) na wengine wengi hawakuona hayo anayoyasema Mukama? Asijaribu kudanganya watu kwani hakuna asiyefahamu uozo wa magamba. Maadili gani hayo anayoyasema Mukama? rushwa na kupeana uongozi kwa kuangalia unasaba wa mgombea? But they still have the gut to go to the press and speak out nonesense like this? Shame on them all.
 
Siyo mavazi tu, angalia mashavu na ndevu zake!

hivi kweli huyu ana kioo nyumbani ,mbona anaacha ndevu mpaka zinaingia mdomoni inatia kichefuchefu kumwangalia.alafu akiongea anakuwa kama ana mtindio hivi.ni kama amepitwa na wakati hivi .unajifaragua tuu
 
Back
Top Bottom