Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Habari nilizozisoma toka kwenye gazeti la kiu la wiki iliyopita ni kuwa mwigizaji Tino alizimia wakati akisubiri majibu yake alipokwenda kupima UKIMWI katika kituo cha ANGAZA Magomeni.Taarifa ziandai jamaa alimwomba rafiki yake amsindikize ili kajue afaya yake.Habari zaidi zinadai kuwa wakati wanaenda jamaa alikuwa normal na alikuwa anapiga sana stori lakini walipofika kituoni hapo na hasa baada ya damu yake kuchukuliwa jamaa alikuwa mkimya kupita maelezo wakati akisubiri majibu.Gazeti hilo linapasha kuwa wakiwa wanaendelea kusubiri majibu ghafla wakashangaa kijana Tino anaishiwa nguvu na kuwa kama mtu anayesinzia lakini ghafla walistukia mtu anaanguka na kupoteza fahamu.
Habari ndio hiyo.Hivi ni nini hasa kilichomtisha Tino mpaka akapoteza fahamu?Je hajiamini?
Habari ndio hiyo.Hivi ni nini hasa kilichomtisha Tino mpaka akapoteza fahamu?Je hajiamini?