chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,695
- 4,947
Fafanua hapo kamanda mi design kama sikuelewa vilekwa upuuzi na mizaha yetu ipo siku nitaikumbuka CHADEMA na viongozi wake imara na makini.
Fafanua hapo kamanda mi design kama sikuelewa vilekwa upuuzi na mizaha yetu ipo siku nitaikumbuka CHADEMA na viongozi wake imara na makini.
nailililia nchi yangu.nachanganyikiwa zaidi na hizi div.5 kwa maana hapa tulipo maccm wanafaidika na kura za wajinga bila div.5 je, baada ya ya hii div.5 na hii act.
Ni kweli mkuu hata CCM haioni ndani. Hii ni kama CCJ .
Taarifa niliyonayo mahakama itaamuru Baraza Kuu Chadema liitishwe na Hawa wachumia tumbo wamepangwa kufanya ghasia kubwa.Wameelekezwa kuvuta bangi kabla ya kuingia mkutanoni.
Nawahakikishia tutawadhibiti vilivyo hawa wendawazimu.Tuna kikosi Imara cha Red Brigade na athubutu mtu kufanya walichopanga watatamani ardhi ipasuke wajifiche.
Ha ha ha eti mbadala wa CHADEMA?
Hii yote ili kiwe nini?Walaaniwe wale wote wanaodhoofisha harakati za kumkomboa Mtanzania maskini!
Hata CCJ ilipata promo kibao lakini kikayeyuka kabla hata ya kupata usajili wa kudumu. Sasa subirini na huyo msaliti wenu. Kama kimeanzishwa na msaliti kitaendeshwa kisaliti saliti.Muhtasari wa Kikao kilichokaa juzi kigoma ujiji kilichoongozwa na MM kiliamua kama ifuatavyo; 1. MM aliwaambia wajumbe kuwa wale viongozi ambao hawana maslahi kwa umma (viongozi wa chama) watangulie ACT 2. Wale viongozi ambao wana maslahi ya posho (madiwani, wabunge) wabaki kwanza mpaka hapo baadaye. 3. Wajumbe wa baraza kuu wanaomuunga mkono MM wameshapangwa kuvuruga mkutano utakaoitishwa, watapinga kila hoja, ngumi zitapigwa ili mkutano uvurugike kwa vurugu ya hali ya juu, ndiyo siku hiyo viongozi wenye maslahi watahamia ACT baada ya kuwahadaa watanzania
Mbinu zake za kufanya vurugu zimebuma
ACT ni chama makini sana