Wengine mkishatutajia mungu tu tunaona utapeli.
Hivi mtaweza kutetea separation of state and religion kweli kwa mtaji huu?
Yaani wewe huamini katika Mungu au ndio ujuaji
Wengine mkishatutajia mungu tu tunaona utapeli.
Hivi mtaweza kutetea separation of state and religion kweli kwa mtaji huu?
Kwa hiyo CCM imedeclare Arusha ni territory ya Chadema wenyewe wamebakiwa na Msoga na Bagamoyo hiyo safi tumechoka kuongozwa na wakwere wazungu wa unga na majangiri wa kung,oa tembo wetu
Yaani wewe huamini katika Mungu au ndio ujuaji
Muhtasari wa Kikao
kilichokaa juzi kigoma ujiji kilichoongozwa na MM kiliamua kama
ifuatavyo;
1. MM aliwaambia wajumbe kuwa wale viongozi ambao hawana maslahi kwa
umma (viongozi wa chama) watangulie ACT
2. Wale viongozi ambao wana maslahi ya posho (madiwani, wabunge) wabaki
kwanza mpaka hapo baadaye.
3. Wajumbe wa baraza kuu wanaomuunga mkono MM wameshapangwa kuvuruga
mkutano utakaoitishwa, watapinga kila hoja, ngumi zitapigwa ili mkutano
uvurugike kwa vurugu ya hali ya juu, ndiyo siku hiyo viongozi wenye
maslahi watahamia ACT baada ya kuwahadaa watanzania
na wewe ni mmoja wapo wa madiwan nn kwan aona huna cha kuchangia. act umekisajili ww nn maana una kiita makinACT ni chama makini, chadema ni chama cha kilaghai
Now I wouldn't want to derail the thread.
Paraphrasing the words of Kenny Gamble through Patti LaBelle, if you don't know my stand by now, you will never know it.
You sound like a Johhny Come Lately to the god bashing party which is fastly becoming old news.
Let's not derail the thread.
And like Preemo said.
On that note, let's get back to the program.
hiki chama ni mbadala wa chadema, kinakuja kwa kasi sana, chadema ni wachumia tumbo tu na genge la wahuni, ruzuku yote ya chadema inaishia kutumbuliwa makao makuu wakati viongozi wa mikoani na wilayani hawana kitu wanapiga miayo tu, shame on you chadema
You mean CCM?