Muhongo agombaniwa kudhaminiwa

Muhongo agombaniwa kudhaminiwa

unanitaka

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2014
Posts
2,178
Reaction score
1,046
Jamani jamani katika hali isiyokuwa ya kawaida, wanachama wa ccm wa temeke wamejitokeza kwa wingi kumdhamini profesa muhongo ili Aweze kuingia katika kinyang'anyiro cha urais, wanachama wengi baada ya kusikia profesa yupo katika eneo hilo walimiminika kwa wingi huku wakilalamika kwa nini hawakutaarifiwa kuwa jembe hilo lilikuwa hapo.
attachment.php
 

Attachments

  • 1433950287589.jpg
    1433950287589.jpg
    50.2 KB · Views: 1,674
  • 1433950308840.jpg
    1433950308840.jpg
    52.4 KB · Views: 5,884
  • 1433950343049.jpg
    1433950343049.jpg
    46.2 KB · Views: 1,622
Duh hatareeee
 

Attachments

  • 1433950589218.jpg
    1433950589218.jpg
    65.4 KB · Views: 1,506
  • 1433950608589.jpg
    1433950608589.jpg
    67.9 KB · Views: 1,459
Watanzania watu wa ajabu sana,c ni nyie ndo mlikua mnalia kila cku huyu jamaa ajiuzulu kwenye skendo ya ESCROW!
 
Prof. Muhongo =Dr. Bunduki + prof. Safari Journey + prof. Lip +Tobo la Kisu. Huyo ndo msomi halisi.
 
P r Muhongo kimbilio la wanyonge tunaomba mungu atusaidie uwe rais wetu umeme tumepata tunauhakika gesi na madini tutanufaika navyo. Kila la heri. Gendelage ludodi lukafu luladenyeka.

Nakumbuka alisema hakuna mtanzania mwenye pesa ya kuwekeza kwenye miradi ya gesi, eti uwekezaji katika gesi unahitaji matrilioni kwa akili yake ndogo anafikiri hao wazungu wanaowekeza kwenye gesi wanayo hayo matriilioni mifukoni mwao!!!!!!!!!

Anafaa tu kuwa mtafiti katika maswala ya nishati lakini sio kuongoza nchi, ni kazi kubwa kuliko kuwekeza kwenye miradi ya gesi
 
Watanzania watu wa ajabu sana,c ni nyie ndo mlikua mnalia kila cku huyu jamaa ajiuzulu kwenye skendo ya ESCROW!
Ni huyu pia alisema kuwa wazawa hawana uwezo wa kufanya biashara kubwa kama ya gesi:confused2:
 
Nakumbuka alisema hakuna mtanzania mwenye pesa ya kuwekeza kwenye miradi ya gesi, eti uwekezaji katika gesi unahitaji matrilioni kwa akili yake ndogo anafikiri hao wazungu wanaowekeza kwenye gesi wanayo hayo matriilioni mifukoni mwao!!!!!!!!!

Anafaa tu kuwa mtafiti katika maswala ya nishati lakini sio kuongoza nchi, ni kazi kubwa kuliko kuwekeza kwenye miradi ya gesi

Ni vigumu sana kumchafua huyu mtu ndugu kwa sababu kila mtu amefunguka saivi na anajua kitu gani kilifanyika.
Kwa kukusaidia sikiliza speech yake wakati anatangaza nia alisema kuwa hana ugomvi na wazawa kumiliki uchumi wa gesi ila ana ugomvi na wababaishaji na wakwepaji kodi waliotaka kumiliki sekta ya gesi kwa maslahi yao. Tuseme huwajui hawa ndugu????
Au nguvu yao ya ushawishi kupitia media na wanasiasa uchwara imeshaharibu akili yako tayari???
 
Anamalizia pesa zake za escrow kutafuta sifa tu hamna kitu hapo.
Daudi Mchambuzi upo serious kweli?
Ni pesa gani toka escrow muhongo alipata? embu leta hata ushahidi wa muamala basi uliofanyika kwenye account yake? Tuseme tume ya maadili hawakuuona huo muamala hadi hawajamuita?
 
Angeweza angezuia wizi naye ni wale wale Ukoo wa panya
Angeweza kuzuia kivipi mkuu? kama mshauri mkuu wa serikali kwenye mambo ya sheria AG alishauri hela itoke baada ya ule uamuzi wa mahakama yeye kama waziri angefanyaje??? au tuseme wewe kama waziri ungefanyaje???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom