Muhogo Vs Dushelele...

Muhogo Vs Dushelele...

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,805
Reaction score
43,227
Habari ya mchana,

Karibuni tusikilize na kuimba wimbo wa bibi Kidude - Muhogo wa Jang'ombe pamoja na wimbo wa Ali Kiba - Dushelele......

Nimewaza.... hivi Marehemu bi kidude na Ali Kiba wangetoa wimbo remix ya Muhogo wa Jang'ombe na Dushelele sijui hilo jiwimbo lingekuwajee......

Haya tuanze.....

Muhogo wa Jang'ombe, sijauramba mwiko Usitukane wakunga, na uzazi ungaliko Kaditamati naapa, muhogo sitonunua

Haikuwa Maimuna, aliyekwenda ung'oa Kapata tete kuanga, na ugonjwa wa shurua Kula dori kula dori, mshindo wa sufuria Guliguli guliguli, kofia ina viua Ndiye mimi ndiye mimi, anipataye ukoa Mungu akitaka kupa, hakuletei barua Hukupa usingizini, pasi mwenyewe kujua Kwenda mbio sikupata, bure unajisumbua Mkato wake matege, wakati anapokuja Naliiweka dhamiri, ya kumfulia koja Wallahi nimeghairi, kiumbe hana mmoja Kamfunge kamfunge, beberu wa Athumani Umfunge umfunge, pahala panapo jani Endaye tezi na omo, atarejea ngamani.

Karibuni muhogo. ....





Nilimwambie asile
Ye alikula akavimba akaja
Mtoto mzuri aliyezaa
Na yule jamaa mwenye mahela
Akaniacha na njaa kwenye mataa
Yeye akaniacha nalia na mola
Ali wa leo nalia na Mola
Ona
Yule aliye kupa wewe
Ndio kaninyina mimi
Na kama riziki anatoa yeye
Basi ntakosa mimi
Ila mola ndio anayetoa
Tena kwa foleni hata kama niko nyuma
Nitapata lazima

Asile
Ana maana yule
Mimi na yule (yule)
Tulipendana yule

Ale dushelele
Dushelele shele dushelele ooh
Ale dushelele shele
Dushelele dushelele ooh
Ale dushelele shele
Dushelele shele dushelele ooh
Ale dushelele shele
Dushele dushele waegoo ooh

Yule aliyepanda
Kwenye lile shamba langu
Hakuona uchungu kuizunguka nyumba yangu
Ukatanda ukungu
Kwa penzi la madhulumu
Anayetena kamtema
Alikuwa hawara

Mimi na yule (yule)
Tuliona yule
Mimi na yule (yule)
Tulifunga ndoa

Anatanga na kichanga kutwa kiguu na njia
Na nani ampe rupia iende pasi na fadhila
Madhila anayopata nikimuona namhurumia
Natamani arudi kwangu ila kumwambia sio sawa

Mimi na yule (yule)
Tuliona yule
Mimi na yule (yule)
Tulifunga ndoa

Maji ya mapenzi aloonyesha yalifata mkondo yaakenda
Na radi ikapiga kumaanisha kuwa nilimpenda

Mimi na yule (yule)
Tupendana yule
Mimi na yule (yule)
Tulifunga ndoa

Yule
Yule

Alerakakakakakaka dushelele

Ale dushelele
Dushelele shele dushelele ooh
Ale dushelele shele
Dushelele dushelele ooh
Ale dushelele shele
Dushelele shele dushelele ooh
Ale dushelele shele
Dushele dushele waegoo ooh

Ali wa Kitaa
Ali wa Leo
Si unaona eeh

Ale dushelele
Dushelele shele dushelele ooh
Ale dushelele shele
Dushelele dushelele ooh
Ale dushelele shele
Dushelele shele dushelele ooh
Ale dushelele shele
Dushele dushele waegoo ooh



Happy Hump Day..

Kasie Mahaba bin Mahabat.
 
Ngoja kwanza nimalizie nyagi yangu hapa kanisani kabla sijafanya sala ya toba.
 
Scrolled

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Mbona sielewi [emoji15]
Umemiss Muhongo
Au umepewa Dushelele umepagawa
 
Kassie mahaba

Abeeeeh Kasie mahaba mahabatan ndo mieee
Muhogo wa Jang'ombe. .... sijauramba mwikoo
Remix with
Ale dushelele Dushelele shele dushelele ooh
Ale dushelele Dushelele shele dushelele ooh Ale dushelele shele Dushelele dushelele waegoo ooh . Oooh Kasie Mahaba. .... si watuona eeeh

Hehehehe.
 
nadhani hii sio ya humu

Muhogo wa Jang'ombe. ....
Sijauramba mwikoo. ......
Siwatukani wakungaaa. ....
Ilhali uzazi bado upooo hasa ukiwa umesimama wima idara juu kabisaaa.....
 
Ngoja kwanza nimalizie nyagi yangu hapa kanisani kabla sijafanya sala ya toba.

Jihogo la Jang'ombe ......
Nikiliramba kama mwikoo. ....
Naanzaje kutukana wakungaaa
Ilhali uzazi upo na umesimama wima imara juu kabisa.....

Alrakatakatakatakataka dushelele shelele shelele shelele sheleee
Vile kiba anavozungusha kiuno huku akisema dushelele shelelee shelelee hapohapo ndo inavoingia dushelele shelelee
 
Jihogo la Jang'ombe ......
Nikiliramba kama mwikoo. ....
Naanzaje kutukana wakungaaa
Ilhali uzazi upo na umesimama wima imara juu kabisa.....

Alrakatakatakatakataka dushelele shelele shelele shelele sheleee
Vile kiba anavozungusha kiuno huku akisema dushelele shelelee shelelee hapohapo ndo inavoingia dushelele shelelee
🙂🙂🙂🙂🙂 kasie kama nakuona vile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom