johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Nawakumbusha vijana hasa wale wa UVCCM waliogombea ubunge na udiwani na kufeli waendelee kuwa wabunifu na wasisubiri teuzi za Serikali.
Rais Magufuli alishasema hatafanya teuzi mpya kwa sasa isipokuwa kwa Baraza la mawaziri pekee.
Zaidi ya wanaCCM 10,000 waliomba nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini na waliofaulu ni takribani wagombea 260 na wengine 94 wameingia kwa Viti Maalumu vya Wanawake.
Ndiyo kusema zaidi ya wanaCCM 9500 wako kwenye foleni wakisubiri teuzi.
Vijana ingieni kwenye ujasiriamali mkachape kazi.
Maendeleo hayana vyama!
Rais Magufuli alishasema hatafanya teuzi mpya kwa sasa isipokuwa kwa Baraza la mawaziri pekee.
Zaidi ya wanaCCM 10,000 waliomba nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini na waliofaulu ni takribani wagombea 260 na wengine 94 wameingia kwa Viti Maalumu vya Wanawake.
Ndiyo kusema zaidi ya wanaCCM 9500 wako kwenye foleni wakisubiri teuzi.
Vijana ingieni kwenye ujasiriamali mkachape kazi.
Maendeleo hayana vyama!