KANCHI
JF-Expert Member
- Sep 3, 2011
- 1,533
- 230
Muhindi mmoja
alisilimishwa na Sheikh akamwambia kila unapokula usisahau kupiga
Bismillah la sivyo utakuwa unakula na shetani,basi yule muhindi kuna
kipindi akajisahau kupiga Bismillah kwa miezi kama miwili hivi,basi
shetani akamfuata Sheikh akamwambia mkumbushe muhindi kupiga Bismillah
kwa sababu ataniua kwa pilipili
Haa ha ha mkuu xafi xana.