CaptainDunga
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 1,567
- 1,375
Muhindi mmoja alisilimishwa na Sheikh akamwambia kila unapokula usisahau kupiga Bismillah la sivyo utakuwa unakula na shetani,basi yule muhindi kuna kipindi akajisahau kupiga Bismillah kwa miezi kama miwili hivi,basi shetani akamfuata Sheikh akamwambia mkumbushe muhindi kupiga Bismillah kwa sababu ataniua kwa pilipili