American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 667
- 944
Nilipata dharula Usiku baada ya Mdogo wangu kuugua Ghafla ikabidi twende Muhimbili kwa Matibabu ya dharula, Cha kushangaza ni Maswali niliyoulizwa Reception. "Mmekuja na usafiri gani!," "Unafanya kazi Gani,!" Haya maswali unaweza kuyaona ni maswali ya kawaida ila ni maswali yenye utata sana hasa Hospitali ya Serikali ( Ya watu wote)
Je ikiwa Nimeletwa Na Guta Sio naweza kutupiwa mochwari kabla hata ya matibabu! Na ikiwa Nimekuja na Benz mazingira ya rushwa hayatazuka hapo?
Vipi nikisema kazi yangu ni waziri Au Meneja wa Vodacom! matibabu yangu yanaweza kufanana na mwenye kazi ya kubrash viatu, au mgonga ulimbo mtaani?
Kwanini Msiulize maswali basic yanayohusiana na tiba kwa ujumla kama Umri, bima, na hali ya mgonjwa. huku kuulizana umekuja na usafiri gani mnataka mjue ili mfanye nini, mbona siwaelewi.
Je ikiwa Nimeletwa Na Guta Sio naweza kutupiwa mochwari kabla hata ya matibabu! Na ikiwa Nimekuja na Benz mazingira ya rushwa hayatazuka hapo?
Vipi nikisema kazi yangu ni waziri Au Meneja wa Vodacom! matibabu yangu yanaweza kufanana na mwenye kazi ya kubrash viatu, au mgonga ulimbo mtaani?
Kwanini Msiulize maswali basic yanayohusiana na tiba kwa ujumla kama Umri, bima, na hali ya mgonjwa. huku kuulizana umekuja na usafiri gani mnataka mjue ili mfanye nini, mbona siwaelewi.