Affet
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,189
- 1,663
Nashkuru myahudi nimekupata!Hospitali zenu ni zipi hizo ndugu, umeoshwa ubongo unajiona mwarabu mfiadini.... samahani nimewavamia tu.
Nashkuru myahudi nimekupata!Hospitali zenu ni zipi hizo ndugu, umeoshwa ubongo unajiona mwarabu mfiadini.... samahani nimewavamia tu.
Chips mayai zimeharibu vijana wetu
Huelewi hata kinachooongelewa kaa kimyaSasa mtoto akifanya makosa shule akaambiwa kamlete mzazi wako wa kiume itakuwaje
Wana akili balaa.wakwetu hata hajatembea vizuri anajua kusomaHapo tuongeze hosp za mirembe yaani najua vichaa na mazezeta watakuwa wengi sn
Wako very bright ulizaShida na watoto watakaozaliwa , ndio watakuwa km wamayai yakizungu
Wabongo wajinga sana.wanadhani sijui ni nini?Huelewi hata kinachooongelewa kaa kimya
Sasa ndugu ukiona jamii inapotea huoni ni jukumu lako kama Muislam kupaza sauti kuwa hili sio sahihi?Suala la machinjio hilo lishaisha hadi hii leo wewe unakula nyama kuna watu wamefight sana hadi serikali na jamii kukubali na kuona ni kawaida machinjio kuwa na mchinjaji muislam mwanzo hali haikuwa hv km uonavyo kwenye uvaaji hijab na sala ya ijumaa mada yetu mimi nawe tunaongelea jambo jipya ambalo wewe na imani yako halikugusi kabsaaa umeambiwa Muhimbili wana pandikiza mimba hiari yako uende usiende deal na vitu vinavyogusa moja kwa moja imani yako km wao wataenda kupandikiza ni juu yao suala la ushoga nalo mada yake tulishafunika kitambo sio sisi tu waislam hata wakristo na wapagani hawaukubali na unapigwa vita vya kutosha ingawa miongoni mwetu wapo wanaosapoti ila bado haiondoi ukweli kwamba asilimia kubwa tunaupiga vita!
Kivipi?Hapo tuongeze hosp za mirembe yaani najua vichaa na mazezeta watakuwa wengi sn
Yani humu kuna vitoto vilivyomaliza la saba,form two wanaosubiri majibu na form 4Wabongo wajinga sana.wanadhani sijui ni nini?
Uko sahihi sana tunapishana sehemu ndogo sana shukran kwa maelezo yako mazuri!Sasa ndugu ukiona jamii inapotea huoni ni jukumu lako kama Muislam kupaza sauti kuwa hili sio sahihi?
Ni nini umuhimu wa Dini sasa, kama sisi watu wa Dini tunaona mambo yasiyofaa tunakaa kimya kwa kisingizio kuwa hayatuhusu?
Kuna morals nyingine tukiona zinavunjwa lazima tuongee ndugu,
maana kama maadili yanavunjwa na sisi tunakaa kimya, watoto wetu wajukuu wetu watazaliwa watayaona ya kawaida na Dini itazidi kudharaulika.
Mfano wakaanzisha operesheni za kubadilisha watu jinsia, hospitali za umma, watoto ama wajukuu zetu wakizaliwa, wakikua na kulikuta litakua jambo la kawaida kwao
Sio Waislam tu, hata Wakristu, kama Wakristu wanakaa kimya haimaanishi na sisi tukae kimya