Muheshimu sana mume wako...

Hao wanaume unawaowazungumzia walishatowekaga kitambo, wanaume wengi siku hizi hawapo responsible kwa familia zao, anaweza akawa anapitia yote hayo but sio kwajili ya familia yake, kua uyaone, kwakua hujaoa unfikiri kila mwanaume aliye oa anapohangaika huko mtaani anatafuta kwajili ya familia, nikuibie siri "SIO KWELI" angalia wimbi la wamama na vitoto vichanga mgongoni wakiwa na mabeseni ya mbogamboga kuranda mitaani au mihogo kupitisha kwenye foleni za daladala, wangekuwa na wanaume wawajibikaji wasingekuwa wana hustle kiasi hicho, hadi uone mama na kichanga ana haha juani kukimbizana na magari ujue kuwa hana option, hana mume anayemjali, jamii ya sasa imekuwa na wanaume wa hovyo sana kuwahi kutokea duniani.
 
Hao wanaume unawaowazungumzia walishatowekaga kitambo, wanaume wengi siku hizi hawapo responsible kwa familia zao, anaweza akawa anapitia yote hayo but sio kwajili ya familia yake, kua uyaone, kwakua hujaoa unfikiri kila mwanaume aliye oa anapohangaika huko mtaani anatafuta kwajili ya familia, nikuibie siri "SIO KWELI" angalia wimbi la wamama na vitoto vichanga mgongoni wakiwa na mabeseni ya mbogamboga kuranda mitaani au mihogo kupitisha kwenye foleni za daladala, wangekuwa na wanaume wawajibikaji wasingekuwa wana hustle kiasi hicho, hadi uone mama na kichanga ana haha juani kukimbizana na magari ujue kuwa hana option, hana mume anayemjali, jamii ya sasa imekuwa na wanaume wa hovyo sana kuwahi kutokea duniani.

WEWE UMETUMWA KUJA KUVURUGA TARATIBU ZA KUSAIDIANA MAJUKUMU NA WAKE ZETU WEWE!!!
 
Hao wanaume unawaowazungumzia walishatowekaga kitambo, wanaume wengi siku hizi hawapo responsible kwa familia zao, anaweza akawa anapitia yote hayo but sio kwajili ya familia yake, kua uyaone, kwakua hujaoa unfikiri kila mwanaume aliye oa anapohangaika huko mtaani anatafuta kwajili ya familia, nikuibie siri "SIO KWELI" angalia wimbi la wamama na vitoto vichanga mgongoni wakiwa na mabeseni ya mbogamboga kuranda mitaani au mihogo kupitisha kwenye foleni za daladala, wangekuwa na wanaume wawajibikaji wasingekuwa wana hustle kiasi hicho, hadi uone mama na kichanga ana haha juani kukimbizana na magari ujue kuwa hana option, hana mume anayemjali, jamii ya sasa imekuwa na wanaume wa hovyo sana kuwahi kutokea duniani.
Ukiwaona sasa wanavyojitutumua humu mitandaoni utafikiri wa maana kumbe majukumu yamekamatwa na wake zao. Then wanataka heshima ebo!!!
 
Kweli wanaovumilia wanakufa na stress na wenye ubavu wanagawa vipigo tu
sasa hivi kwa Takwimu wanawake wengi hawana wanaume wanajihudumia wenyewe na watoto wao baada ya kutelekezwa au kukosea mahesabu,
kaangalie Madada poa wanaojiuza wameongezea, kaangalia kina mama wanaotembeza mabeseni na mitumba mitaani mpaka usiku, kaangalie mama lishe, wabeba zege, waponda kokoto, wafagia mitaani na wengineo maisha yanaenda na wala hawawahitaji wanaume wa mfumo dume
waonee huruma mama zetu na dada zetu usiwasingizie
 
sasa hivi kwa Takwimu wanawake wengi hawana wanaume wanajihudumia wenyewe na watoto wao baada ya kutelekezwa au kukosea mahesabu,
kaangalie Madada poa wanaojiuza wameongezea, kaangalia kina mama wanaotembeza mabeseni na mitumba mitaani mpaka usiku, kaangalie mama lishe, wabeba zege, waponda kokoto, wafagia mitaani na wengineo maisha yanaenda na wala hawawahitaji wanaume wa mfumo dume
waonee huruma mama zetu na dada zetu usiwasingizie
Ulichosema ni kweli ila lakini bado ME wanategemewa sana japo utegemezi huo unapunguzwa kidogodogo na semina zinazolenga kuwainua akina mama na mambo women empowerment na muamko wao katika kupambana na umaskini
 
Ulichosema ni kweli ila lakini bado ME wanategemewa sana japo utegemezi huo unapunguzwa kidogodogo na semina zinazolenga kuwainua akina mama na mambo women empowerment na muamko wao katika kupambana na umaskini
Hapana nenda Nchi za wenzetu, wanaume wanatunzwa na kina mama na wakileta za kuleta wanatimuliwa, (sina uhakika/ naitauta mtandaoni ntaleta mrejesho) na USA lkn Wanawake ndio wanaolipwa Unemployment Benefit
awamu hii watoto wengi Primary wamelazimishwa kupelekwa shule na kina mama hata vikao vya wazazi wanaohudhuria ni kina mama, wanaume ni kwamba hawapo, au wapowapo tu kwenye bao, mipira na mitaani wanarudi usiku kuchungulia ni nini kimepikwa, hawaulizi watoto wamekula au mama kaenda Kliniki
 
Hapana nenda Nchi za wenzetu, wanaume wanatunzwa na kina mama na wakileta za kuleta wanatimuliwa, (sina uhakika/ naitauta mtandaoni ntaleta mrejesho) na USA lkn Wanawake ndio wanaolipwa Unemployment Benefit
awamu hii watoto wengi Primary wamelazimishwa kupelekwa shule na kina mama hata vikao vya wazazi wanaohudhuria ni kina mama, wanaume ni kwamba hawapo, au wapowapo tu kwenye bao, mipira na mitaani wanarudi usiku kuchungulia ni nini kimepikwa, hawaulizi watoto wamekula au mama kaenda Kliniki
Sikupingi
Mada yangu inafit sana african & asian countries maana ukiangalia nchi kama USA single mothers ni wengi lakini wanaweza kuhudia familia zao
 
Hao wanaume unawaowazungumzia walishatowekaga kitambo, wanaume wengi siku hizi hawapo responsible kwa familia zao, anaweza akawa anapitia yote hayo but sio kwajili ya familia yake, kua uyaone, kwakua hujaoa unfikiri kila mwanaume aliye oa anapohangaika huko mtaani anatafuta kwajili ya familia, nikuibie siri "SIO KWELI" angalia wimbi la wamama na vitoto vichanga mgongoni wakiwa na mabeseni ya mbogamboga kuranda mitaani au mihogo kupitisha kwenye foleni za daladala, wangekuwa na wanaume wawajibikaji wasingekuwa wana hustle kiasi hicho, hadi uone mama na kichanga ana haha juani kukimbizana na magari ujue kuwa hana option, hana mume anayemjali, jamii ya sasa imekuwa na wanaume wa hovyo sana kuwahi kutokea duniani.
Kwa kweli Wanaume mlioa mje upesi kujibu hizi hoja imekuaje??
 
Back
Top Bottom