Jamani jana baadhi ya watu wasiopenda wanaharakati walizusha kuwa mbunge wa
kigoma kaskazini ametutoka watu tukapatwa na mishtuko ya ghafla kwani unasikia
Mh.mwakyembe anaumwa mara Mh.mwandosya sasa kamanda zitto inatisha........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.